Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Pascal, you are useless! Kituko zima Kama wewe unashindwa kupata mantiki ya akina Halima . Unakera Sana...Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Kwa hiyo Mzee Zitto ni mtu wa kula leftovers - ha ha haHuu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA.
Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa.
Muda utahibitisha.
Yaani hata waende Ccm, habari yao ni kwishney. Yuko wapi Nasari? Yuko wapi Bananga? Yuko wapi Kalist Lazaro? Unaweza taja wengi sana lakini nyota zao zime zimika... CHADEMA ni mpango wa Mungu.. Yuko wapi Slaa? Amebakiakiropoka kama mbuzi alie kosa malisho..Huu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA.
Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa.
Muda utahibitisha.
Jitu hovyo wewe, ulimsaliti Kabendela kwa Jiwe. Shetani mkubwa we! UlaaniweNaunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Ndio maana yake.Kwa hiyo Mzee Zitto ni mtu wa kula leftovers - ha ha ha
Vyovyote vile hawatuhusu sisi , mambo yao MaCCM watajuana wenyewe mzee Mdee na CCM yake.Huu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA.
Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa.
Muda utahibitisha.
Huyu ni mmoja wa chawa wa magu ndugu...sasa hivi wanahangaika hawana wa kumchawia...maza hataki umbeya na majungu ya kijinga kijingaJitu hovyo wewe, ulimsaliti Kabendela kwa Jiwe. Shetani mkubwa we! Ulaaniwe
KWA hiyo mkuu walichokifanya kujipeleka bungeni ni SAWA.??Mkuu THE FIRST BORN , nimepandisha uzi maalum kuhusu hilo. A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo? . Kikao cha Baraza Kuu ni kikao halali, na kura zimepigwa kihalali kubariki maamuzi ya CC batili, na kufukuzwa kule, ni kufukuzwa batili, hivyo Baraza Kuu limebariki ubatili wa CC, jambo lolote lilotanguliwa na ubatili, hata liwe zuri kiasi gani, ni batili!.
P
Sioni tatizo la hicho kifungu (d) kipo very clear kulingana na hali ya mambo ilivyokuwa wakati kina Mdee wakifukuzwa uanachama na KK.Mayala hebu rudia kusoma sehemu (d)
6.5.2 Kwa mujibu wa Ibara 5.4.3 na 5.4.4 ya Katiba, mwanachama yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu ama kuonywa ama kuachishwa ama kufukuzwa uanachama bila kwanza:
(a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
(b) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
(c) Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
(d) Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa mwachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika kuitwa kwenye kikao husika.
Hizo zilikuwa siasa za shetani wa chato. Mpemba (mama) ana akili nyingi sana.Huu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA.
Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa.
Muda utahibitisha.
Kwasasa CCM inawenyewe akina Mdee wasiote hizo ndoto, imeshakula kwao wakitaka waibuke vema wakae miezi kadhaa waombee msamaha warudi Chadema nje ya hicho chama siwaoni wakifanikiwa kisiasa haswa kama wamelenga kuendelea kuwa Siasa za upinzani, ACT na Umoja party hakuna jipya, brand ya Chadema hata kama wewe ni mbovu inakubeba kwasasa maana wananchi wanalifahamu chama na wanajua madhila yaliyompata kiongozi wa chama na wenzake huruma ya wananchi inakibeba sana ChademaHuu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA.
Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa.
Muda utahibitisha.
Niliuliza humu jee walijiteua?. Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule? jee kwenye kikao cha Baraza Kuu, umesikia lolote kuhusu aliyewateua?. Unaamini walijiteua?.KWA hiyo mkuu walichokifanya kujipeleka bungeni ni SAWA.??
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Niliuliza humu jee walijiteua?. Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule? jee kwenye kikao cha Baraza Kuu, umesikia lolote kuhusu aliyewateua?. Unaamini walijiteua?.
P