Utabiri: Halima Mdee na Wenzake 18 watahamia ACT Wazalendo au Umoja Party kama sio kuteuliwa Serikalini


Wakaripoti police hii hii inayotumika kubumba ushahidi dhidi ya wapinzani hususani cdm? Yaani cdm wategemee kupata haki kwenye vyombo hivi hivi vya dola vinavyotumika waziwazi kuwahujumu? Mahakamani unatakiwa uende mtu kama ww mwenye kinga ya ccm. Hatua walizochukua cdm ndio zilizo ndani ya uwezo wao, huko kwenye vyombo vya kimamlaka ccm ndio wenye maamuzi.
 
Wewe huwa ni mnafiki sana ni kwa Bahati Mbaya wenye uelewa finyu wanakuona think tank humu,
 

Zamani ulikuwa unapata vijitaarifa fulani fulani vya ndani, huenda ulikuwa unajuana na walevi fulani wa huko kunakojiita system. Ila sasa hivi umepoteza ramani kwani waliokuwa wanakupa vijitaarifa wengi ni wazee, na sasa wamestaafu. Walioko hawakujui hivyo huna taarifa zozote, bali umebaki kuwa mzushi, ndio maana unapost jambo hili kila uzi ili uhadae watu kuwa bado una uwezo wa kupata taarifa za ndani. Kwa bahati mbaya matamanio yako hayakuendandana na maamuzi ya wanacdm.

Kwa sasa umebaki kuanika frustration zako hapa jukwaani ukimwaga uchuro na uzushi ili kubaki relevant. Mzushi mwenzio Britannica yeye alijiapiza akina Mdee hawawezi kufukuzwa vinginevyo wakifukuzwa atajitoa jf. Matokeo yametoka kabaki kaduwaa anaongea utoto wa ajabu. Na ww uko kwenye route hiyo hiyo, unavalia kanzu maulid ambayo hujaalikwa, ili uonekane una hoja kumbe mbabaishaji tu. Umri ukisogea inabidi ukubaliane na matokeo tu mzee.
 
Nani kawateua kuwa wabunge chama kinakataa nani aliyewateua mpaka kuapishwa kwa tashtiti

Mnaleta huruma kwenye Mambo ya kufuata misahafu
 
Nafikiri tunaongelea lugha moja...nilichofanya ni kutaka kumuonesha Mayala uhalali wa KK kufanya maamuzi bila kuwahoji kina Mdee unaotokana na kifungu (d)! kiufupi nililenga kumuonesha Mayalla kuwa maamuzi ya KK hayakuwa ya Kikangaroo court!
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…