Utabiri: Huyu kigogo anaetuhumiwa kufanya unyanyasaji, anaweza kujiondoa wakati wowote

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kutegemeana na ukweli wa mambo, huyu mwanamama anaweza kushindwa kuhimili aibu na fedheha itayomkuta na hivyo anaweza kujiondoa wakati wowote ule kuanzia sasa.

Ushauri:
Ndugu na jamaa zake, hasa Mumewe kama ameolewa, wawe makini na nyendo zake kwani kwa sasa hawezi kuwa yuko normal kisaikilojia ukizingatia nafasi kubwa aliyonayo katika jamii. Pia anyang"anywe silaha alionayo haraka iwezekanavyo.

Kitendo cha kuvuliwa madaraka hakiwezi kumuacha salama hasa katika kipindi hiki na ni wazi kuna jambo na taarifa zimemfikia boss wake, vinginevyo asingemuondoa kwenye hiyo nafasi.

Tujiepushe na ulevi wa madaraka.
 
thubut CCM walivyo na roho ngumu ajiue kisa hizo tuhuma....Dugange alifumaniwa na kifo kikatokea na anapeta mpaka leo vizuuur kabisaaaa. CCM wengi sana wana roho ngumu na za kishetani hivyo hili wala halitomtisha huyo.
 
kama kweli alifanya hivyo, Mungu amsaidie, ila sheria inatakiwa ichukue mkondo wake. hakuna anayezaa mtoto akitegemea kuna mwanamke atakuja kumwingiza chupa kwenye anus. never.very unacceptable.
 
Tunaelekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu hivyo Hatutakubali Chama kichafuliwe

Ataitwa kwenye Kamati za Chama kueleza kilichotokea

Mlale Unono πŸ˜ƒ
 
Labda asingekua CCM hawa wameshazoea haya hawawezi kukubali kufa mapema maana huko Moto unawasubiri
 
Umbea tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…