Utabiri: Huyu kigogo anaetuhumiwa kufanya unyanyasaji, anaweza kujiondoa wakati wowote

Utabiri: Huyu kigogo anaetuhumiwa kufanya unyanyasaji, anaweza kujiondoa wakati wowote

Wewe unafikiria eti anaweza kujiua, wakati mwenzako anasubiria watu wasahau, ili arudishwe tena kwenye uongozi.

Uovu wa huyu unaweza kuulinganisha na wa Bashite? Kama wauaji na watekaji watu wamepumzishwa kisha wakapewa nafasi kuwa wasemaji wakuu wa chama, nini kitazuia Pauline kurudishwa ulingoni? Anapumzishwa kwa muda tu.
 
Wewe unafikiria eti anaweza kujiua, wakati mwenzako anasubiria watu wasahau, ili arudishwe tena kwenye uongozi.

Uovu wa huyu unaweza kuulinganisha na wa Bashite? Kama wauaji na watekaji watu wamepumzishwa kisha wakapewa nafasi kuwa wasemaji wakuu wa chama, nini kitazuia Pauline kurudishwa ulingoni? Anapumzishwa kwa muda tu.
Nchi ya hovyo sana hii!
 
Kutegemeana na ukweli wa mambo, huyu mwanamama anaweza kushindwa kuhimili aibu na fedheha itayomkuta na hivyo anaweza kujiondoa wakati wowote ule kuanzia sasa.

Ushauri:
Ndugu na jamaa zake, hasa Mumewe kama ameolewa, wawe makini na nyendo zake kwani kwa sasa hawezi kuwa yuko normal kisaikilojia ukizingatia nafasi kubwa aliyonayo katika jamii. Pia anyang"anywe silaha alionayo haraka iwezekanavyo.

Kitendo cha kuvuliwa madaraka hakiwezi kumuacha salama hasa katika kipindi hiki na ni wazi kuna jambo na taarifa zimemfikia boss wake, vinginevyo asingemuondoa kwenye hiyo nafasi.

Tujiepushe na ulevi wa madaraka.

Hana mume, alishaachana na mume wake tangu alipopata ubunge kuanzia chama cha CHADEMA
 
Wanawake wengi hawana unajasiri wa kujimaliza, hilo ni pepo la wanaume kwa sehemu kubwa.

Awe mvumilivu tu, CCM huwa wanasameheana, hata ukifanya ujambazi wa kutumia silaha.
Namkumbuka Chenge na wale akina dada wa Bajaj. Nikipiga akili zaidi yapo makubwa zaidi ya hapo.
Hiki ni chama cha "Huyu ni Mwenzetu".
 
Suala hili watalichukulia serious kwa sasa kwani tunaelekea kwenye Uchaguzi. Hivyo lazima atokewe Kafara.

Laana ya ualiti haijawahi muacha Mtu salama. Bado wengine waliochanganyikiwa kama huyo Sweety wa watu.
 
Kutegemeana na ukweli wa mambo, huyu mwanamama anaweza kushindwa kuhimili aibu na fedheha itayomkuta na hivyo anaweza kujiondoa wakati wowote ule kuanzia sasa.

Ushauri:
Ndugu na jamaa zake, hasa Mumewe kama ameolewa, wawe makini na nyendo zake kwani kwa sasa hawezi kuwa yuko normal kisaikilojia ukizingatia nafasi kubwa aliyonayo katika jamii. Pia anyang"anywe silaha alionayo haraka iwezekanavyo.

Kitendo cha kuvuliwa madaraka hakiwezi kumuacha salama hasa katika kipindi hiki na ni wazi kuna jambo na taarifa zimemfikia boss wake, vinginevyo asingemuondoa kwenye hiyo nafasi.

Tujiepushe na ulevi wa madaraka.
Nitachangia viti na maturubai
 
Kutegemeana na ukweli wa mambo, huyu mwanamama anaweza kushindwa kuhimili aibu na fedheha itayomkuta na hivyo anaweza kujiondoa wakati wowote ule kuanzia sasa.

Ushauri:
Ndugu na jamaa zake, hasa Mumewe kama ameolewa, wawe makini na nyendo zake kwani kwa sasa hawezi kuwa yuko normal kisaikilojia ukizingatia nafasi kubwa aliyonayo katika jamii. Pia anyang"anywe silaha alionayo haraka iwezekanavyo.

Kitendo cha kuvuliwa madaraka hakiwezi kumuacha salama hasa katika kipindi hiki na ni wazi kuna jambo na taarifa zimemfikia boss wake, vinginevyo asingemuondoa kwenye hiyo nafasi.

Tujiepushe na ulevi wa madaraka.
Hakuna utabiri

Pdf imetoka wa 12 jioni

Acha ubwege
 
Back
Top Bottom