Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Wewe unafikiria eti anaweza kujiua, wakati mwenzako anasubiria watu wasahau, ili arudishwe tena kwenye uongozi.
Uovu wa huyu unaweza kuulinganisha na wa Bashite? Kama wauaji na watekaji watu wamepumzishwa kisha wakapewa nafasi kuwa wasemaji wakuu wa chama, nini kitazuia Pauline kurudishwa ulingoni? Anapumzishwa kwa muda tu.
Uovu wa huyu unaweza kuulinganisha na wa Bashite? Kama wauaji na watekaji watu wamepumzishwa kisha wakapewa nafasi kuwa wasemaji wakuu wa chama, nini kitazuia Pauline kurudishwa ulingoni? Anapumzishwa kwa muda tu.