Nchi ya hovyo sana hii!Wewe unafikiria eti anaweza kujiua, wakati mwenzako anasubiria watu wasahau, ili arudishwe tena kwenye uongozi.
Uovu wa huyu unaweza kuulinganisha na wa Bashite? Kama wauaji na watekaji watu wamepumzishwa kisha wakapewa nafasi kuwa wasemaji wakuu wa chama, nini kitazuia Pauline kurudishwa ulingoni? Anapumzishwa kwa muda tu.
Mzee una English ngumuGood riddance to bad rubbish if she ends up deleting herself!
Or, I’d be very happy to unalive her with my bare hands, if offered the opportunity.
Kutegemeana na ukweli wa mambo, huyu mwanamama anaweza kushindwa kuhimili aibu na fedheha itayomkuta na hivyo anaweza kujiondoa wakati wowote ule kuanzia sasa.
Ushauri:
Ndugu na jamaa zake, hasa Mumewe kama ameolewa, wawe makini na nyendo zake kwani kwa sasa hawezi kuwa yuko normal kisaikilojia ukizingatia nafasi kubwa aliyonayo katika jamii. Pia anyang"anywe silaha alionayo haraka iwezekanavyo.
Kitendo cha kuvuliwa madaraka hakiwezi kumuacha salama hasa katika kipindi hiki na ni wazi kuna jambo na taarifa zimemfikia boss wake, vinginevyo asingemuondoa kwenye hiyo nafasi.
Tujiepushe na ulevi wa madaraka.
Namkumbuka Chenge na wale akina dada wa Bajaj. Nikipiga akili zaidi yapo makubwa zaidi ya hapo.Wanawake wengi hawana unajasiri wa kujimaliza, hilo ni pepo la wanaume kwa sehemu kubwa.
Awe mvumilivu tu, CCM huwa wanasameheana, hata ukifanya ujambazi wa kutumia silaha.
Nitachangia viti na maturubaiKutegemeana na ukweli wa mambo, huyu mwanamama anaweza kushindwa kuhimili aibu na fedheha itayomkuta na hivyo anaweza kujiondoa wakati wowote ule kuanzia sasa.
Ushauri:
Ndugu na jamaa zake, hasa Mumewe kama ameolewa, wawe makini na nyendo zake kwani kwa sasa hawezi kuwa yuko normal kisaikilojia ukizingatia nafasi kubwa aliyonayo katika jamii. Pia anyang"anywe silaha alionayo haraka iwezekanavyo.
Kitendo cha kuvuliwa madaraka hakiwezi kumuacha salama hasa katika kipindi hiki na ni wazi kuna jambo na taarifa zimemfikia boss wake, vinginevyo asingemuondoa kwenye hiyo nafasi.
Tujiepushe na ulevi wa madaraka.
Tujiepushe na ulevi wa madaraka
Hakuna utabiriKutegemeana na ukweli wa mambo, huyu mwanamama anaweza kushindwa kuhimili aibu na fedheha itayomkuta na hivyo anaweza kujiondoa wakati wowote ule kuanzia sasa.
Ushauri:
Ndugu na jamaa zake, hasa Mumewe kama ameolewa, wawe makini na nyendo zake kwani kwa sasa hawezi kuwa yuko normal kisaikilojia ukizingatia nafasi kubwa aliyonayo katika jamii. Pia anyang"anywe silaha alionayo haraka iwezekanavyo.
Kitendo cha kuvuliwa madaraka hakiwezi kumuacha salama hasa katika kipindi hiki na ni wazi kuna jambo na taarifa zimemfikia boss wake, vinginevyo asingemuondoa kwenye hiyo nafasi.
Tujiepushe na ulevi wa madaraka.