Yeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.