Utabiri: Kagame kuchukua Eastern Congo, Kabale, Burundi, Kagera na Kigoma miaka ijayo

Utabiri: Kagame kuchukua Eastern Congo, Kabale, Burundi, Kagera na Kigoma miaka ijayo

Yeeeuuuuwwwwww!

Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.

Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.

Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.

Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
pole sana, nakuonea huruma kwasababu hauifahamu vizuri Tanzania, kagame mwenyewe anaielewa hata akipatwa na ukichaa hili ninaouhakika hawezi kulifanya
 
Yeeeuuuuwwwwww!

Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.

Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.

Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.

Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.

PK anamiaka mingapi sasa?

Unafikiri Mtu hazeeki?

Kama ameshindwa sasa akiwa na nguvu unategemea ataweza miaka mitaji ijayo ambayo nguvu zinazidi kufifia?
 
Yeeeuuuuwwwwww!

Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.

Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.

Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.

Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Namtakia kila laheri kwenye huo upanuzi wa himaya yake.
 
Pk akilianzisha hatupotezi muda kutumia majeshi yetu panya road tu wanaiteka mpk ikulu na Rwanda yote.
 
Yeeeuuuuwwwwww!

Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.

Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.

Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.

Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Kwa hiyo umemtabiria kwamba umri wake utakiwa miaka 1000 pia!
 
jf siku hizi haina taarifa zenye uhalisia bali imejaa watabiri walioshiba maandazi na chai halafu wanakuja kutupotezea bundle na just imagine sasahivi gharama za internet zimepanda ukigusa kidogo unashangaa kuambiwa bundle lako limeisha.
 
Yeeeuuuuwwwwww!

Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.

Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.

Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.

Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Kama sud Kivu tu ina mshinda atawezaje kuchukuwa eneo lote hilo

Wakongo hatujaamua kwenda kufanya upumbavu uko kwenu
 
Shida vijana wanakariri tu hawana uwezo wa kuchunguza mambo kwa kina, kwa ufupi Rwanda ni Taifa ambalo hawana uwezo wa kuanzisha vita dhidi ya Tanzania, unapaswa ujue taifa la Rwanda hadi kesho halina amani wala utulivu, kilichomo ndani ya Rwanda ni utiifu kwa Kagame kwani wapinzani wake amekuwa akiwaminya hadi kuwanyima haki ya kuishi. Rwanda inao maadui wakubwa sana ambao ni raia wake chini ya utawala wa Kagame wanyarwanda hawaaminiani kamwe. Lakini kwa taarifa zaidi unapaswa ujue nje na KIGALI maisha ya Rwanda Ni magumu mnoo. Msipende kuishia vijiweni na kuishia mijini bali zama ndani mpate uhalisia wa maisha.
 
Yeeeuuuuwwwwww!

Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.

Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.

Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.

Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Soma kitabu cha alfu lela humo kuna hadithi nyingi za kufurahisha sana.Mojawapo ni ndoto ya mchana naamini utaipenda hiyo simulizi.
 
Mbona Kagera kachelewa sana kuichukua. Wale si wenzetu Iddy Amini alibughi kidogo, vinginevyo watu wake angewatwaa.
Sio wenzenu kivipi. Kambi ya jeshi ya Kaboya inatosha kuisambaratisha Rwanda.
 
Back
Top Bottom