Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuotaKwanza siku zake zinahesabika huyo
Nafikiri mpaka 2023 hatoimaliza
Mkuu,PK ana tabia na historia kama ya VPCha ajabu thread kama hii inaanzishwa baada ya mtu kutoka kijiwe cha bange.
pole sana, nakuonea huruma kwasababu hauifahamu vizuri Tanzania, kagame mwenyewe anaielewa hata akipatwa na ukichaa hili ninaouhakika hawezi kulifanyaYeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Yeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Namtakia kila laheri kwenye huo upanuzi wa himaya yake.Yeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
PK anamiaka mingapi sasa?
Unafikiri Mtu hazeeki?
Kama ameshindwa sasa akiwa na nguvu unategemea ataweza miaka mitaji ijayo ambayo nguvu zinazidi kufifia?
Nguvu ipi unaongelea hapo?
Kwa hiyo umemtabiria kwamba umri wake utakiwa miaka 1000 pia!Yeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Kama sud Kivu tu ina mshinda atawezaje kuchukuwa eneo lote hiloYeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Soma kitabu cha alfu lela humo kuna hadithi nyingi za kufurahisha sana.Mojawapo ni ndoto ya mchana naamini utaipenda hiyo simulizi.Yeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Mlevi wa double kick huyuHizi ndoto huwa zinatokea ukitumia kinywaji gani?...vita sio kama unavyofikiria..
Sio wenzenu kivipi. Kambi ya jeshi ya Kaboya inatosha kuisambaratisha Rwanda.Mbona Kagera kachelewa sana kuichukua. Wale si wenzetu Iddy Amini alibughi kidogo, vinginevyo watu wake angewatwaa.