Utabiri: Kagame kuchukua Eastern Congo, Kabale, Burundi, Kagera na Kigoma miaka ijayo

Utabiri: Kagame kuchukua Eastern Congo, Kabale, Burundi, Kagera na Kigoma miaka ijayo

Pumba tupu akamuulize Idd Amini alipotaka kuchukua tarafa Moja tu ya Missenyi Nini kilimtokea we are silenci ila wanatujua hatuna maneno ya kanga eti kuimarika uchumi wa Rwanda ! angalia GDP yao afu uje uongee huu utopia
 
Hatuwezi kuhangaika na mtu ambae hadi kivuli chake anakiogopa
 
Yeeeuuuuwwwwww!

Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.

Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.

Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.

Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
asijaribu kuigusa tz,2tamchamba wima,akiwa amesimama,2tamptishia tisuue ya kifuu!!
 
Kagame hata Burundi tu anamtoa jasho ndio aende kuimega Kigoma
 
Kwani ataishi milele huyo Putin wa Africa ?
 
What amazes me jamii ya Watutsi humuona PK km God father wao. Yaani unakuta hajawai fika hata Rusumo lakini ni ile tu kuwashwa na ukabila. Yaani mtaongea yoote ikifika hapo anabadili mtazamo.
 
Cha ajabu thread kama hii inaanzishwa baada ya mtu kutoka kijiwe cha bange.
Msiidharau bange kiasi hicho..[emoji28][emoji28][emoji28]

Wavuta Bange wote ni ma genius.. Yani wako smart in their own ways

Huyu labda kapiga double kick..
 
Yeeeuuuuwwwwww!

Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.

Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.

Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.

Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Ataishi milele?
 
Yeeeuuuuwwwwww!

Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.

Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.

Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.

Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Mwamba umeandika kwa kutumia shithole!
 
Back
Top Bottom