Utabiri: Kagame kuchukua Eastern Congo, Kabale, Burundi, Kagera na Kigoma miaka ijayo

Cha ajabu thread kama hii inaanzishwa baada ya mtu kutoka kijiwe cha bange.
Umetafakari kiasi gani ndugu mpaka kusema hivyo

kagame ni mtu smart mzee hayo yote yanawezekana sana wala siyo ya kubeza kabisa
lakini Tanzania huwa inajitathmini kijeshi kweli kwamba kenya wana nini kijeshi sisi tuna nini Uganda, Burundi, Rwanda au mnaona tu ni amani amani wanachukuliwa poa tu
 
PAKA amekula vichwa vingi Sana vya watu. Wajane na yatima kibao wanamlilia
 
Tanzania ni Urusi ya Afrika Mashariki. Hakuna wa kuichezea.

Hii Rwanda ni kamkoa TU.
Wasijaribu tutawapiga vibaya mno mana tumewachoka na tunajua wanajiona mastaa na mabishoo. Tutawapelekea TU Wangoni na Wamakonde na wahehe halafu watauona mziki uliomshinda mkoloni.
 
Asijaribu kuivamia tanzani ndiyo itaichukua rwanda na kuifanya mkoa wake. Labda achukue kongo lakini si tanzania
 
We matako yako na huyo k, wako...
 
huyo kagame na rwanda ni nani? huyo mi mwenyewe namtosha, saizi yangu huyo, atachapika kipigo cha mwizi wa kuku.

tena ajaribu kubeep aone kama hatutampigia. Na mimi nataka ajaribu huo utopolo wako uloandika hapo juu ili tukaichukue rasmi rwanda yote.
 
Nchi kama Rwanda πŸ‡·πŸ‡Ό kuipiga ni rahisi sana , ukiangalia kwamba ndani tu ya nchi kuna uadui wa chini kwa chini , vita atakayoianzisha yoyote lazima ajiandae na civil war within.
 
Utabiri fake huo, kwanza Kagame atakuwa amekwenda kwa mwendazake wa Tanzania kupata chai ya mungu.
 
Hakuna kitu ambacho sintokubali ni kutawaliwa na Taifa jengine lolote la kigeni
Nalog off
 
Wanajeshi wote wa rwanda ni sawa na wanafunzi wa chuo cha udom... kama ikitokea vita nao hata tabora hawatafika watakuwa wote wameisha
 
Watanzania wenyewe mnajidharau! Nani atatuheshimu?

Napendekeza TBC kuwe na vipindi vya propaganda vya kufundisha watanzania uzalendo na kujithamini.
 
As long as there is death there is hope

Brother Theodore
Muda umemuacha ataondoka soon
 
As long as there is death there is hope

Brother Theodore
Muda umemuacha ataondoka soon
Kwanini iwe "miaka ijayo"? Kwanini asichukuwe hivyo vipande na kuviunganisha sasa hivi?

Wazungu walijikatia mapande Afrika ( na dunia) na wanachota vilivyokuwemo mpaka leo, na ukiwakatalia wanakuminya. Sasa kama Kagame anataka kujichukulia mapande akayaunganisha yakawafaidisha wote waliopo huko, tatizo nini?

Kama usemayo ni kweli basi ana mawazo mema sana, ya kuviunganisha vipande vya nchi vidogo dogo na kuvirudisha katika hali ya kabla ya ujio wa mzungu. Naona akiweza asiishie huko tu, hata Afrika Mashariki na ya kati yote aichukue na aifanye kitu kimoja, ni poa zaidi.

Tumekazana kingonjera tu, Afrika ni moja, Afrika ni moja, wakati kiuhalisia ni vijipande pande tu vilivyokatwa na kuwekewa Wazungu, walipogawana keki ya Afrika huko Berlin, ambavyo mpaka leo vinatawaliwa na hao hao wazungu, kama si basi kiuchumi au kimabavu.

Kumbuka tu, ukiwa na mawazo ya kuiunganisha Afrika, wababe hawakuachi salama, wanafaidika na "divide and rule". Si umeona yaliomkumba Ghaddafi? Au hujui sababu zake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…