mtumishi askofu
Member
- Sep 8, 2021
- 29
- 36
Hili ni swali?Sio wenzenu kivipi. Kambi ya jeshi ya Kaboya inatosha kuisambaratisha Rwanda.
asijaribu kuigusa tz,2tamchamba wima,akiwa amesimama,2tamptishia tisuue ya kifuu!!Yeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
hao jamaa wanajivuna kwa v2 vya kipumbavu sana,wanajisifia kwa maumbile yao,pua,na urefuMNYWARANDA AKIJARIBU KUISIFIA RWANDA NDANI YA PLATFORM YA KITANZANIA [emoji1787]
Hasa huyu mtu GENTAMYCINEhao jamaa wanajivuna kwa v2 vya kipumbavu sana,wanajisifia kwa maumbile yao,pua,na urefu
wangese nasa!!
Msiidharau bange kiasi hicho..[emoji28][emoji28][emoji28]Cha ajabu thread kama hii inaanzishwa baada ya mtu kutoka kijiwe cha bange.
Ataishi milele?Yeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.
Mwamba umeandika kwa kutumia shithole!Yeeeuuuuwwwwww!
Putin wa Afrika mwamba strong man Paul Kagame huenda akafanya ya Putin huko Ukraine na kuvamia kuchukua kwa nguvu Congo Mashariki, Kabale Uganda, Burundi, Kagera na Kigoma Tanzania.
Hayo yametabiriwa katika mahojiano na mwana JamiiForums gwiji na mchambuzi wa masuala ya usalama katika maziwa makuu Frenki Maghayo.
Maghayo amefafanua kuwa kutokana na uchumi wa Rwanda kuendelea kukua, technolojia, viwanda na nguvu za kijeshi, zitamfanya PK awe na kiburi na kuexpand his dinasty na empire katika nchi majirani zake.
Alimwelezea Kagame jinsi alivyochimba mkwara juzi akijidai nguvu zake za kijeshi na kiuchumi na kutishia anaweza peleka vita sehemu yoyote ile na kugawa dozi za uhakika.