UTABIRI: Kocha wa Simba Fadlu Davids hana maisha marefu ndani ya klabu, atafukuzwa ghafla kabla ya Pasaka

UTABIRI: Kocha wa Simba Fadlu Davids hana maisha marefu ndani ya klabu, atafukuzwa ghafla kabla ya Pasaka

Wakati mashabiki wa SSC wapo kwenye shangwe la ushindi, mimi Omoyogwane kuna kitu nakiona ambacho wengi hamkioni.

Kocha Fadlu mbinu zake ni zile zile hii mechi ya 11 makocha wa mikoani washaanza kumuelewa na kutafuta muarobaini wa mbinu zake

Kikawaida hupanga mabeki wanne nyuma ambao hutengeneza shape ya herufi "U" na huwa hawapandi mbele sana wao huweka makazi yao karibu na kipa, wanahusika katika kuanzisha mashambulizi na kuzuia wakati huo wachezaji wengine hujazana mbele kwenye lango la mpinzani.

Hii humfanya mpinzani apaki bus mwisho wa siku atajikuta anafanya makosa na kusababisha penati ndio maana magoli mengi ya Simba ni ya penati.

KOCHA FREDRICK MINZIRO AMSOMA FADLU

Mechi ya pamba jiji vs Simba ktk kipindi cha kwanza George mpole hakufurukuta sababu alijikuta yupo peke yake akikabwa na mabeki wanne


Ktk kipindi cha pili Kocha wa Pamba akaingiza washambuliaji watatu na wibga mmoja kazi yao ikiwa ni kukaa man to man na mabeki wa simba ili wasianzishe mashambulizi kutokea nyuma huku sehemu ya wachezaji wa pamba iliyobaki ikipaki bus na kusukuma mipira mirefu mbele kuwatafuta washambuliaji watatu wa pamba

Hii iliwavuruga mabeki wa simba wakaanza kufanya makosa hadi kapombe akapigwa kadi ya njano kwa kumvuta mpole makusudi aliyekuwa anaenda kufunga

Kipa Camara akawa analazimika kupiga mpira mbele
Moja kwa moja

Fadlu akaanza sub za hapa na pale lakini hazikuleta unafuu

Pamba wakawa wanashambulia kwa mashuti hatari kwa kutumia washambuliaji watatu kama sio ubora wa kipa Camara SSC wangepoteza.

Pia wachezaji wa Simba wameanza kufanya udanganyifu unakuta faulo kafanya mtu wa SSC cha ajabu yeye ndio analala chini na kujifanya kafanyiwa yeye( hii kiufundi ni udangwnyifu).


KWANINI FADLU HANA MAISHA MAREFU SSC

Sababu ni kwamba makocha wa mikoani washaanza kumsoma pia wanatumia mbinu za kuchezesha viungo na washambuliaji wengi kama alivyo asisi Gamond

Mpira upo kwenye mapibduzi


Nawasilisha.
Sawa kocha wa utopolo. Mwaka huu mtaumia sana lakini moyoni mwako unajua kabisa kuwa unaandika ujinga?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kandanda unalijua, unachambua vyedi kabisaaa ingawa naamini Fadlu nae kichwa inafanya kazi atabadili mifumo
 
Huyo kocha ana mda gani hapa tanzania acha kuchambua kwa makosa au mbinu yeye mwenyewe anajua anachokifanya alafu usichokiona wewe ni kwamba makocha hao wanashindwa kujua jinsi ya kumzuia huyo kocha asipate ushindi unarudi uwanjani wachezaji wako wanakuangusha hapo kujua mbinu za mtu imekusaidia nini mkuu minziro alichokitaka ni goli siyo kumjua hajamjua chochote kile kuwa na akili saa zingine basi
Nakuunga mkono 100% kwa asiyejua Mpira kiufundi atakubishia kwakuwa ni wale mashabiki oya oya wao wanachoangalia ni matokeo tu, but kiufundi tiyali nilishaliona ilo kwenye mechi 4 za Simba zilizopita, kocha Minziro alimsoma vizuri na kama sio goli la penalty walilopata Simba walikuwa wanadondosha point, kiufupi makocha wameanza kumjua vizuri mbinu zake ni zile zile abadiliki anapokutana na kocha mzuri anapata tabu kwelikweli kupata matokeo!
 
Mnajipa moyo mnashindwa kutambua Simba wamejitoa mhanga kufanya kile ambacho Yanga wamekiogopa. Kucheza mechi wakati una mechi kubwa ya kimataifa huwezi kujitoa kikamilifu kwa sababu ya kuogopa majeraha,Kipindi cha kwanza Simba walicheza kwa kushambulia vizuri, walipopata goli kipindi cha pili wakapumzisha wachezaji wao muhimu.Halafu unaizungumzia timu iliyoshinda na sio kufungwa au draw
Uelewa ni mdogo sana kwenu, Sisi tunaongelea mbinu za kiufundi ambazo anazo kocha wenu na atuangalii mechi Moja tu ya pamba, nimekwambia nimefatilia mechi karibu 4 zilizopita mbinu zake ziko vile vile azibadiliki, iyo mechi ya pamba ilikuwa ni mechi ya 5 kumfatilia ivyo isiwe kichaka cha kujifichia juu ya mechi ya kimataifa inayofata!
 
Uelewa ni mdogo sana kwenu, Sisi tunaongelea mbinu za kiufundi ambazo anazo kocha wenu na atuangalii mechi Moja tu ya pamba, nimekwambia nimefatilia mechi karibu 4 zilizopita mbinu zake ziko vile vile azibadiliki, iyo mechi ya pamba ilikuwa ni mechi ya 5 kumfatilia ivyo isiwe kichaka cha kujifichia juu ya mechi ya kimataifa inayofata!
Wewe una cheti gani cha Ukocha?.Na ni
cha kiwango gani? Umefundisha timu ngapi?Kila mjinga amekuwa mchambuzi au kocha feki.
 
Performance ya Simba Imewachanganya utopolo kuazia Viongozi Mpaka Mashabiki
 
Haya

Simba vs Bravos

Kipindi cha kwanza Bravos wamecheza vibaya wakiwa wanakaa nyuma

Kipindi cha pili kocha wa Bravos kamsima Fadlu kaingia na mbinu ya jykabia mbele

Wakapata penati ila bahati haikuwa upande wa Bravos

Hapa unaona siku akikutana na kocha mzuri watapoteza
 
Haya

Simba vs Bravos

Kipindi cha kwanza Bravos wamecheza vibaya wakiwa wanakaa nyuma

Kipindi cha pili kocha wa Bravos kamsima Fadlu kaingia na mbinu ya jykabia mbele

Wakapata penati ila bahati haikuwa upande wa Bravos

Hapa unaona siku akikutana na kocha mzuri watapoteza
Vipi gongowazi bado una hang over ya viwili?Mechi za makundi kauli mbiu ni kushinda kwanza nyumbani. Muhimu ni pointi.
Vipi Gamondi kaondoka?Au mmemkopa?
 
Haya

Simba vs Bravos

Kipindi cha kwanza Bravos wamecheza vibaya wakiwa wanakaa nyuma

Kipindi cha pili kocha wa Bravos kamsima Fadlu kaingia na mbinu ya jykabia mbele

Wakapata penati ila bahati haikuwa upande wa Bravos

Hapa unaona siku akikutana na kocha mzuri watapoteza
Hakuna timu ambayo haipoteani Man City imepoteana mara ngapi mfululizo na Sindano FC je?.Hakuna timu ambayo haifungwi na Mpira ni mchezo WA makosa. Kunyweni maji mlale maumivu yanaendelea na timu ya MAJALIWA inawasubiri😂😂
 
Acheni ushirikina...
Mwalimu anafundisha wachezaji ndo wanapaswa kuwa creative...
Kwa sasa hatufukuzi kocha ng'ooo tumewachia nyie hizo mbanga...
 
Back
Top Bottom