UTABIRI: Kocha wa Simba Fadlu Davids hana maisha marefu ndani ya klabu, atafukuzwa ghafla kabla ya Pasaka

UTABIRI: Kocha wa Simba Fadlu Davids hana maisha marefu ndani ya klabu, atafukuzwa ghafla kabla ya Pasaka

Leo kaanza vizuri waarabu wakamsoma kipindi cha pili wakajabkivingine simba akapigika
 
Kikombe tu cha kushirikishwa ulimi nje vipi ingekuwa kule kwa wanaume uyu kocha angekuwa anaingia na mabeki 7 badala ya 5 alioingia nao Leo,,na bado unapasuka unashindwa kulinda ulichonacho alafu useme Kuna kocha hapo🚮🚮🚮
 
Wakati mashabiki wa SSC wapo kwenye shangwe la ushindi, mimi Omoyogwane kuna kitu nakiona ambacho wengi hamkioni.

Kocha Fadlu mbinu zake ni zile zile hii mechi ya 11 makocha wa mikoani washaanza kumuelewa na kutafuta muarobaini wa mbinu zake

Kikawaida hupanga mabeki wanne nyuma ambao hutengeneza shape ya herufi "U" na huwa hawapandi mbele sana wao huweka makazi yao karibu na kipa, wanahusika katika kuanzisha mashambulizi na kuzuia wakati huo wachezaji wengine hujazana mbele kwenye lango la mpinzani.

Hii humfanya mpinzani apaki bus mwisho wa siku atajikuta anafanya makosa na kusababisha penati ndio maana magoli mengi ya Simba ni ya penati.

KOCHA FREDRICK MINZIRO AMSOMA FADLU

Mechi ya pamba jiji vs Simba ktk kipindi cha kwanza George mpole hakufurukuta sababu alijikuta yupo peke yake akikabwa na mabeki wanne

Ktk kipindi cha pili Kocha wa Pamba akaingiza washambuliaji watatu na wibga mmoja kazi yao ikiwa ni kukaa man to man na mabeki wa simba ili wasianzishe mashambulizi kutokea nyuma huku sehemu ya wachezaji wa pamba iliyobaki ikipaki bus na kusukuma mipira mirefu mbele kuwatafuta washambuliaji watatu wa pamba

Hii iliwavuruga mabeki wa simba wakaanza kufanya makosa hadi kapombe akapigwa kadi ya njano kwa kumvuta mpole makusudi aliyekuwa anaenda kufunga

Kipa Camara akawa analazimika kupiga mpira mbele
Moja kwa moja

Fadlu akaanza sub za hapa na pale lakini hazikuleta unafuu

Pamba wakawa wanashambulia kwa mashuti hatari kwa kutumia washambuliaji watatu kama sio ubora wa kipa Camara SSC wangepoteza.

Pia wachezaji wa Simba wameanza kufanya udanganyifu unakuta faulo kafanya mtu wa SSC cha ajabu yeye ndio analala chini na kujifanya kafanyiwa yeye( hii kiufundi ni udangwnyifu).

KWANINI FADLU HANA MAISHA MAREFU SSC

Sababu ni kwamba makocha wa mikoani washaanza kumsoma pia wanatumia mbinu za kuchezesha viungo na washambuliaji wengi kama alivyo asisi Gamond

Mpira upo kwenye mapibduzi

Nawasilisha.
Ulikuwa mbele ya muda saana na Hakika unaujua mpira vizuri

Jana ndio mbinu ambayo Singida waliingia nayo walikuwa wanakabia juu

TUTEGEMEE SIMBA KUPOTEZA ZAIDI KAMA KOCHA HATOBADILISHA MBINU
 
Ulikuwa mbele ya muda saana na Hakika unaujua mpira vizuri

Jana ndio mbinu ambayo Singida waliingia nayo walikuwa wanakabia juu

TUTEGEMEE SIMBA KUPOTEZA ZAIDI KAMA KOCHA HATOBADILISHA MBINU
GOLI LA FOUNTAIN KAFUNGA NANI
 
Ulikuwa mbele ya muda saana na Hakika unaujua mpira vizuri

Jana ndio mbinu ambayo Singida waliingia nayo walikuwa wanakabia juu

TUTEGEMEE SIMBA KUPOTEZA ZAIDI KAMA KOCHA HATOBADILISHA MBINU
Hamna kocha pale. Wanashinda mechi kwa kubebwa
 
Nakuunga mkono 100% kwa asiyejua Mpira kiufundi atakubishia kwakuwa ni wale mashabiki oya oya wao wanachoangalia ni matokeo tu, but kiufundi tiyali nilishaliona ilo kwenye mechi 4 za Simba zilizopita, kocha Minziro alimsoma vizuri na kama sio goli la penalty walilopata Simba walikuwa wanadondosha point, kiufupi makocha wameanza kumjua vizuri mbinu zake ni zile zile abadiliki anapokutana na kocha mzuri anapata tabu kwelikweli kupata matokeo!
Huu una akili, anazungumziwa kocha wa Yanga wewe unakuja kuizungumzia Simba
 
Hivi bado faldu ajafukuzwa tu aise mbona tulikubaliana mwezi 12 hatiboi Sasa🤣🤣🤣🤣
 
Wakati mashabiki wa SSC wapo kwenye shangwe la ushindi, mimi Omoyogwane kuna kitu nakiona ambacho wengi hamkioni.

Kocha Fadlu mbinu zake ni zile zile hii mechi ya 11 makocha wa mikoani washaanza kumuelewa na kutafuta muarobaini wa mbinu zake

Kikawaida hupanga mabeki wanne nyuma ambao hutengeneza shape ya herufi "U" na huwa hawapandi mbele sana wao huweka makazi yao karibu na kipa, wanahusika katika kuanzisha mashambulizi na kuzuia wakati huo wachezaji wengine hujazana mbele kwenye lango la mpinzani.

Hii humfanya mpinzani apaki bus mwisho wa siku atajikuta anafanya makosa na kusababisha penati ndio maana magoli mengi ya Simba ni ya penati.

KOCHA FREDRICK MINZIRO AMSOMA FADLU

Mechi ya pamba jiji vs Simba ktk kipindi cha kwanza George mpole hakufurukuta sababu alijikuta yupo peke yake akikabwa na mabeki wanne

Ktk kipindi cha pili Kocha wa Pamba akaingiza washambuliaji watatu na wibga mmoja kazi yao ikiwa ni kukaa man to man na mabeki wa simba ili wasianzishe mashambulizi kutokea nyuma huku sehemu ya wachezaji wa pamba iliyobaki ikipaki bus na kusukuma mipira mirefu mbele kuwatafuta washambuliaji watatu wa pamba

Hii iliwavuruga mabeki wa simba wakaanza kufanya makosa hadi kapombe akapigwa kadi ya njano kwa kumvuta mpole makusudi aliyekuwa anaenda kufunga

Kipa Camara akawa analazimika kupiga mpira mbele
Moja kwa moja

Fadlu akaanza sub za hapa na pale lakini hazikuleta unafuu

Pamba wakawa wanashambulia kwa mashuti hatari kwa kutumia washambuliaji watatu kama sio ubora wa kipa Camara SSC wangepoteza.

Pia wachezaji wa Simba wameanza kufanya udanganyifu unakuta faulo kafanya mtu wa SSC cha ajabu yeye ndio analala chini na kujifanya kafanyiwa yeye( hii kiufundi ni udangwnyifu).

KWANINI FADLU HANA MAISHA MAREFU SSC

Sababu ni kwamba makocha wa mikoani washaanza kumsoma pia wanatumia mbinu za kuchezesha viungo na washambuliaji wengi kama alivyo asisi Gamond

Mpira upo kwenye mapibduzi

Nawasilisha.
Asante mchambuzi
 
Back
Top Bottom