TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau
Tukumbuke tarehe 25/07/2021 kutakuwa na mechi kati ya Simba na Yanga utabiri wangu unanambia hii mechi inaweza isichezwe.
Sababu ni hali ya Corona nchini iwapo serikali kupitia wizara itaamua kuchukua tahadhari zaidi kuzuia maambukizo, ukizingatia mechi itapigwa Kigoma ambako rate ya maambukizi kandokando ya nchi ipo juu kuliko maeneo ambayo hayapo mipakani.
Kiashiria: Ugomvi wa Manara na viongozi wake na maboss wake wa Simba pia kutakuwa na hoja kubwa itakayo ibuka itakayopelekea timu moja kutoingia uwanjani kwa sababu za kudai kuwa wanahujumiwa.
Tukumbuke tarehe 25/07/2021 kutakuwa na mechi kati ya Simba na Yanga utabiri wangu unanambia hii mechi inaweza isichezwe.
Sababu ni hali ya Corona nchini iwapo serikali kupitia wizara itaamua kuchukua tahadhari zaidi kuzuia maambukizo, ukizingatia mechi itapigwa Kigoma ambako rate ya maambukizi kandokando ya nchi ipo juu kuliko maeneo ambayo hayapo mipakani.
Kiashiria: Ugomvi wa Manara na viongozi wake na maboss wake wa Simba pia kutakuwa na hoja kubwa itakayo ibuka itakayopelekea timu moja kutoingia uwanjani kwa sababu za kudai kuwa wanahujumiwa.