Acha ujinga.Wakuu kwa kinachoendelea kuhusu Covid 19, chonde chonde naiomba serikali yetu sikivu iufute huu mchezo au kama unachezwa uchezwe kusiwe na mshabiki hata mmoja uwanjani
Naandika huku naogopa kwa kinachoendelea kuhusu covid 19 nchini hali ni Mbaya mnooo
Uhai ni bora kuliko huu mchezo wana kigoma wanaenda kuumia kama ilivyo Mwanza sasa hivi
Serikali futeni huu mchezo hali sio nzuri na kingine watu hawavai barakoa
Asante
Mkuu embu tuambie kuna ndugu yako yeyote ndani ya ukoo wenu umesikia amefariki kwa virus vya covid 19 Au tu kuumwa? Au kuna rafiki yako yeyote umesikia kakutwa na hiyo covid 19?
Tusiseme hali ni mbaya halafu hatuoni hali yoyote utafikiri hao wagonjwa tunaoaminishwa wapo hawapatikani uraiani mwetu. Watu wanaenda kariakoo na misongamano kila siku na tunawaona wanadunda tu.
Embu wewe uwe wa kwanza kutuambia mgonjwa uliyemsikia katika eneo lako
Umeandika vema sana. Mashabiki wa simba ni waelewa mno.Nakukatalia mapema kabisa, Simba tukufungwa hiyo mechi haiwezi kuleta vurugu abadan. Haji ni mjinga hata wanasimba washamjua kuwa anatumika, mechi ikiisha anashughulikiwa na Simba kama club itaendelea na malengo yake, kumbuka Simba ya sasa inauongozi makini na mashabiki wa Simba pia wameshapevuka.
Mmeanza woga, subiri kwanza mnyooshwe 25 julyWakuu kwa kinachoendelea kuhusu Covid 19, chonde chonde naiomba serikali yetu sikivu iufute huu mchezo au kama unachezwa uchezwe kusiwe na mshabiki hata mmoja uwanjani
Naandika huku naogopa kwa kinachoendelea kuhusu covid 19 nchini hali ni Mbaya mnooo
Uhai ni bora kuliko huu mchezo wana kigoma wanaenda kuumia kama ilivyo Mwanza sasa hivi
Serikali futeni huu mchezo hali sio nzuri na kingine watu hawavai barakoa
Asante
Gaidi mkristo? Magaidi waislam tuMsiwatoe watanzania kwenye mstari
Mbowe ni gaidi kweli
Makato miamala imeshafanyiwa kazi
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Wapo sehemu gani hao watu?Wapo sio mmoja.Wamekufa watatu,mmoja yuko ICU,wengine wamepona baada ya kukaa kwenye oxygen masaa zaidi ya 8 tena vijana wadogo.Hali ya uviko ni mbaya tukisema ukweli.
Mechi ichezwe bila mashabiki
Mkuu embu tuambie kuna ndugu yako yeyote ndani ya ukoo wenu umesikia amefariki kwa virus vya covid 19 Au tu kuumwa? Au kuna rafiki yako yeyote umesikia kakutwa na hiyo covid 19?
Tusiseme hali ni mbaya halafu hatuoni hali yoyote utafikiri hao wagonjwa tunaoaminishwa wapo hawapatikani uraiani mwetu. Watu wanaenda kariakoo na misongamano kila siku na tunawaona wanadunda tu.
Embu wewe uwe wa kwanza kutuambia mgonjwa uliyemsikia katika eneo lako