UTABIRI: Mrisho Gambo kuingia kwenye baraza la Mawaziri

UTABIRI: Mrisho Gambo kuingia kwenye baraza la Mawaziri

Mkuu hukunielewa nimemaanisha kuwa Gambo hakuna mema yoyote aliyo yafanya kwetu wana wa Arusha.
mema gani hayo zaidi ya kurudia rudia tu kusema mema memaa , alaa!
Wana Arusha wanakumbuka alimlaza LEMA CHRISTMAS HUKU WATOTO wa lema wakila sikukuu bila baba yao wakati yeye Gmbo akilala mount meru na familia yake, hilo ndio jema linalokumbukwa
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.

Katika watu wasiostahili third chance ni huyu jamaa, how in the world Kijana wa umri below 40 years anapewa chance twice anaharibu kwa the Same mistakes? Does that mean huyu Tanzania Hakuna watu competent?

Huyu kamkosea sana Magufuli..... tena sana! Alionywa korogwe hakusikia, kaja Arusha, kaonywa hakusikia, sasa Ana matumizi gani? Huyu hata ubunge hapati hata afanyaje!
 
Katika watu wasiostahili third chance ni huyu jamaa, how in the world Kijana wa umri below 40 years anapewa chance twice anaharibu kwa the Same mistakes? Does that mean huyu Tanzania Hakuna watu competent?

Huyu kamkosea sana Magufuli..... tena sana! Alionywa korogwe hakusikia, kaja Arusha, kaonywa hakusikia, sasa Ana matumizi gani? Huyu hata ubunge hapati hata afanyaje!

Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. Mkurugenzi na Mkuu wa wilaya ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.

Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni kijana mchapa kazi

Wangekutana na mtu kama Makonda mwenye nguvu na ushawishi kwa Rais hayo mambo ya ugomvi tusingeyasikia wangempa heshima yake.
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.

Gambo umeamua kuja kupima upepo JF
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Sishangai maana tumbua tumbua ya huyu mh. Haileweki hata lugola nae usishangae akaula
 
Bashite Waziri wa mambo ya ndani alafu gwajima Waziri wa Ajira ili kuimarisha Kanda yetu.....
 
Siwashangai watanzani, kama mnataka x Mkuu wa mkoa wa Tabora awe mbunge kwa sababu ya vichekesho mtashindwa kumpigia kampeni Gambo?
Hivi inawezekana hata yule DAS aliyetu.buliwa Kisarawe nae ni mbinu tu ya kugombea ubunge!! Poor tz!
 
Mrisho bwana,naona umeanza kujipigia kampeni za Uwaziri..Ah Gambo uko mbali vuka kwanza kiunzi cha Ubunge kilichombele yako ni kizito mno kwa character yako.
 
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. Mkurugenzi na Mkuu wa wilaya ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.

Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni kijana mchapa kazi

Wangekutana na mtu kama Makonda mwenye nguvu na ushawishi kwa Rais hayo mambo ya ugomvi tusingeyasikia wangempa heshima yake.

Uelewa wako kwa kiuongozi ni Mdogo! Kiongozi is also responsible pale ambapo haheshimiki.....

Hakupaswa kulumbana nao in public! Go and study ethics za kiuongozi utaona! Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wana sense sana kwa namna walivyokuwa wanazungumza na misimamo yao!
 
Mleta mada utakuwa umevuta bangi.
Gambo kwa sasa ajipange tu kwenda kulima (maana ana mashamba mikoa fulani, nami aliwahi kunichongea dili la kupata shamba japokuwa sikufanikiwa, maana sikuwa kada wa CCM). Huko atatoboa fresh.

Issue za siasa kwa sasa aachane nazo, alishaharibu kwa jiwe na huku uraiani watu wengi wana visasi naye. (Akumbuke tu ile siku alipofiwa na mama yake au siku aliyotumbuliwa uRC namna watu wa Arusha walivyofurahi, kushangilia, kunywa na kulewa)

Kundi linalomchukia zaidi ni makada wa CCM wakiongozwa na UVCCM Arusha. Gambo kwa Arusha anachukiwa kuliko Corona.
 
Back
Top Bottom