Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli umeona mbali..naunga mkono hoja..
hiyo ndo akili yako imekutuma mm ni Gambo, Huu ni utabiri tu usipaniki MkuuMrisho bwana,naona umeanza kujipigia kampeni za Uwaziri..Ah Gambo uko mbali vuka kwanza kiunzi cha Ubunge kilichombele yako ni kizito mno kwa character yako.
akili yako ndo imekutuma hivyo, huu ni utabiri tu usipani, Basi ngoja nikutabirie na wewe, kable mwezi huu haujaisha utaokota elfu kumi.Huyu ni gambo mwenyewe anajipamba tumemshtukia hana lolote
[emoji23][emoji23]ndoto hiziiUtabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Huna lolote habari zako tunazo uteuzi utausikia redioni😕akili yako ndo imekutuma hivyo, huu ni utabiri tu usipani, Basi ngoja nikutabirie na wewe, kable mwezi huu haujaisha utaokota elfu kumi.
Helu mazaUkubona si
Gambo amekutuma kumuombea uwazr?Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Uwaziri unapewa kutokana na uwezo wako....usipaniki sana huo ni utabiri tu!!!!Gambo amekutuma kumuombea uwazr?
Weka uzi wako wa mpoto Mkuunikajua mpoto.
Mleta mada utakuwa umevuta bangi.
Gambo kwa sasa ajipange tu kwenda kulima (maana ana mashamba mikoa fulani, nami aliwahi kunichongea dili la kupata shamba japokuwa sikufanikiwa, maana sikuwa kada wa CCM). Huko atatoboa fresh.
Issue za siasa kwa sasa aachane nazo, alishaharibu kwa jiwe na huku uraiani watu wengi wana visasi naye. (Akumbuke tu ile siku alipofiwa na mama yake au siku aliyotumbuliwa uRC namna watu wa Arusha walivyofurahi, kushangilia, kunywa na kulewa)
Kundi linalomchukia zaidi ni makada wa CCM wakiongozwa na UVCCM Arusha. Gambo kwa Arusha anachukiwa kuliko Corona.
Muongo mkubwa wewe!!! Udini udini udini, kawagawa wapi we muongo???ameacha alama gani zaidi ya kugawa watu kidini? akitumia mwavuli huo ili waislamu wampe kura? tena kwa ushahidi wa mkuu wa nchi kupitia msikiti wa bondeni?
Amefanya nini zaidi ya chuki binafsi dhidi ya watendaji wasio na sigda kwenye uso?
Amefanya nini kulinganisha na Anna mghwira, Shigella , na wengine ?
Wwewe umetumwa uje kumuimbia pambio weakati kishatumbuliwa?
Asante sana mkuu tatizo watu wengi wanaendekeza siasa za upinzani kupinga kila kitu.Muongo mkubwa wewe!!! Udini udini udini, kawagawa wapi we muongo???
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Huyo wanamkata.. ubunge hapati na mwaka huu wakikukata ukachepuka wanabomoa hadi nyumba zako