Truths
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,494
- 1,504
Sikuzote watu wanaweza wakamkataa mtu fulani, lakini wako watakao shawishika na watu wengine kulingana na mazingira yanavyojionyesha.
Swali wanalojiuliza ni kwanini watu wengi wamemkubali Odinga? Hapa dalili za Odinga kuthaminishwa huanza kujitokeza.
Mfano hapa Tanzania, kuna watu walimkataa Lowasa na Upinzani mwanzoni, wakijiaminisha kua wao wanaiunga mkono CCM chama cha Nyerere.
Hata hivyo baada ya Ngoma yake kulia na kuchezwa sana kila mahali, watu wale wakajikuta wanaanza kumthaminisha na wanamuimba kuliko wimbo wa [HASHTAG]#Seduce[/HASHTAG] me wa ali kiba.
Tukirudi Kenya:-
Kwa hapa utaona Odinga amejenga mvuto na Ngoma yake inachezeka zaidi kwasababu Mahakama imeamua positive juu yake.
Mamuzi ya mahakama yanatoa Picha kwa wakenya kua Odinga ndiye anayependwa na ndiye alieshinda Uchaguzi na si Kenyatta.
Na hapa utaona, hata waliomkataa wataanza kumfikiria kua anafaa. Kwavile tu Mahakama ilimpa ushindi.
Watamchukulia Odinga kama mtenda Haki kwasababu mahakama ilimpa Haki. Na kinyume chake kwa Kenyatta ambaye alipoteza.
Hii ni dalili kua Odinga anakwenda kushinda U-Raisi ndani ya siku 60 zijazo
Hata hivyo wako wanaopingana na nadharia hii wakidai wakenya wana ukabila sana, hivyo zamu hii yale Makabila Tawala watahakikisha Odinga hashindi.
Jibu langu:- Nadhani sikuzote wako watu wasiofungamana na upande wowote hata ndani ya makabila Tawala. Hawa ni wale "swing". Wana sway anywhere..kulingana na wanachokifikiri wao.
Hawa wana uwezekano wakakaa upande wa Odinga zaidi.
2. Na rekodi za wananchi wa kenya zinaonyesha hawana Tabia ya kumtaka mtu aongoze Awamu 2 za Uraisi.mfano walimkataa Mwai kibaki dhidi ya Odinga kwenye uchaguzi wa Pili.
3. Inawezekana ikawa Ni kweli kua, Kenyatta aliashindwa Uraisi. Kama asingeiba asingeibuka mshindi..mnakumbuka yule jamaa aliekufa ghafla.
Zipo dalili kua wameshamkataa Kenyatta na jubilee yake.
4. Matokeo ya wabunge Jubelee inaongoza dhidi ya NASA ya Odinga, hata hivyo kama ni kweli wakina Kenyatta walichakachua matokeo kwa mujibu wa mahakama. Hii ina maana kua wingi wa wabunge wa Kenyatta hauwezi kumsaidia.
Nawasiliasha...
Updated
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali wanalojiuliza ni kwanini watu wengi wamemkubali Odinga? Hapa dalili za Odinga kuthaminishwa huanza kujitokeza.
Mfano hapa Tanzania, kuna watu walimkataa Lowasa na Upinzani mwanzoni, wakijiaminisha kua wao wanaiunga mkono CCM chama cha Nyerere.
Hata hivyo baada ya Ngoma yake kulia na kuchezwa sana kila mahali, watu wale wakajikuta wanaanza kumthaminisha na wanamuimba kuliko wimbo wa [HASHTAG]#Seduce[/HASHTAG] me wa ali kiba.
Tukirudi Kenya:-
Kwa hapa utaona Odinga amejenga mvuto na Ngoma yake inachezeka zaidi kwasababu Mahakama imeamua positive juu yake.
Mamuzi ya mahakama yanatoa Picha kwa wakenya kua Odinga ndiye anayependwa na ndiye alieshinda Uchaguzi na si Kenyatta.
Na hapa utaona, hata waliomkataa wataanza kumfikiria kua anafaa. Kwavile tu Mahakama ilimpa ushindi.
Watamchukulia Odinga kama mtenda Haki kwasababu mahakama ilimpa Haki. Na kinyume chake kwa Kenyatta ambaye alipoteza.
Hii ni dalili kua Odinga anakwenda kushinda U-Raisi ndani ya siku 60 zijazo
Hata hivyo wako wanaopingana na nadharia hii wakidai wakenya wana ukabila sana, hivyo zamu hii yale Makabila Tawala watahakikisha Odinga hashindi.
Jibu langu:- Nadhani sikuzote wako watu wasiofungamana na upande wowote hata ndani ya makabila Tawala. Hawa ni wale "swing". Wana sway anywhere..kulingana na wanachokifikiri wao.
Hawa wana uwezekano wakakaa upande wa Odinga zaidi.
2. Na rekodi za wananchi wa kenya zinaonyesha hawana Tabia ya kumtaka mtu aongoze Awamu 2 za Uraisi.mfano walimkataa Mwai kibaki dhidi ya Odinga kwenye uchaguzi wa Pili.
3. Inawezekana ikawa Ni kweli kua, Kenyatta aliashindwa Uraisi. Kama asingeiba asingeibuka mshindi..mnakumbuka yule jamaa aliekufa ghafla.
Zipo dalili kua wameshamkataa Kenyatta na jubilee yake.
4. Matokeo ya wabunge Jubelee inaongoza dhidi ya NASA ya Odinga, hata hivyo kama ni kweli wakina Kenyatta walichakachua matokeo kwa mujibu wa mahakama. Hii ina maana kua wingi wa wabunge wa Kenyatta hauwezi kumsaidia.
Nawasiliasha...
Updated
Sent using Jamii Forums mobile app