Hii ya mwisho ni shida,kama ya mvuta bangiView attachment 582519View attachment 582520
Sent using Jamii Forums mobile app
Compare
balibabambonahi
Cc chipaka.com
Which one is better off
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya mwisho ni shida,kama ya mvuta bangiView attachment 582519View attachment 582520
Sent using Jamii Forums mobile app
Compare
balibabambonahi
Cc chipaka.com
Which one is better off
Majibu haya yanaonyesha ukomavu wa kifikra na shibe. Kama angekuwa ana njaa angezipokea Ksh 500ml alizoingiziwa kwenye akaunti. Lkn hakufanya hivyo. Kama angekuwa hajakomaa kifikra angeufyata na kumpigia magoti rais aliyeko madarakani.
Hata kama m500 zilitolewa,je,ni nani aliyezitoa? Na alikuwa na lengo gani? Maraga anajua ni nani aliyetaka kumhonga?Majibu haya yanaonyesha ukomavu wa kifikra na shibe. Kama angekuwa ana njaa angezipokea Ksh 500ml alizoingiziwa kwenye akaunti. Lkn hakufanya hivyo. Kama angekuwa hajakomaa kifikra angeufyata na kumpigia magoti rais aliyeko madarakani.
Iron,like a lion, in zion! Hapo jombaa ni mwendo tu wa Peace love and unity! Hehe!
Uaminike bila substance mkuu,tema cheche.Odinga na urais ni sawa na mbingu na ardhi.Rais ni Uhuru,hayo unsyotegemea hayapo na kura za Odinga zitapungua. Niamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakama haikumkuta Uhuru na hatia yyte,IEBC ndo ina makosa.Uhuru ndo presidaa hutaki unaacha.Uaminike bila substance mkuu,tema cheche.Ukweli mkuu ni kwamba Kenyatta hatashinda uchaguzi.Mtu aliyeiba kura na kuwa proved na mahakama kwamba ni mwizi wa kura, atashindaje.He is so tainted.Ni mjinga tu anayeweza kumchagua mwizi kuwa Rais wake.
Kwa nini uchaguzi unarudiwa mkuu?Mahakama haikumkuta Uhuru na hatia yyte,IEBC ndo ina makosa.Uhuru ndo presidaa hutaki unaacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani uchaguz ukirudia ni uhuru kaiba? Any way, sitak tubishane ila tarehe 19, nitakukumbusha .Kwa nini uchaguzi unarudiwa mkuu?
Hahaha , i thought i was the only one who was quite bemused by that dejected look on his face.Tutafika Oct 17 na sura utakuwa ni hiyo hiyo aende ajinyonge.Hii ndo sura alokuwa amevalia wakati aliposikia ameshindwa raundi ya kwanza! Tarehe kumi na nane Oktoba akisikia ameshindwa tena sura ndo itafanana na ya kangaroo kabisaa! Hehe mzee aende nyumbani akapumzike! 😀
Kwani uchaguz ukirudia ni uhuru kaiba? Any way, sitak tubishane ila tarehe 19, nitakukumbusha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Odinga na urais ni sawa na mbingu na ardhi.Rais ni Uhuru,hayo unsyotegemea hayapo na kura za Odinga zitapungua. Niamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Odinga na urais ni sawa na mbingu na ardhi.Rais ni Uhuru,hayo unsyotegemea hayapo na kura za Odinga zitapungua. Niamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi tena niue! Mimi niko kwetu DSM mkuuWewe sio Mungu, subiri Mtajibiwa! Si mlianza kuua ma ICT!!!