jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 2,524
- 10,287
Man city kachapwa na Chelsea
Anaenda chezea kwa Mourinho
Akitoka hapo anaenda kubemendwa na mbappe/neymar
Chelsea vs Madrid 50/50 ila naona Madrid atakuwa na chance kubwa kama wachezaji wake muhimi wakipona majeruhi
Final Madrid vs Psg. Kwa beki nzee za Madrid sioni wa kukimbizana na mbape
Anaenda chezea kwa Mourinho
Akitoka hapo anaenda kubemendwa na mbappe/neymar
Chelsea vs Madrid 50/50 ila naona Madrid atakuwa na chance kubwa kama wachezaji wake muhimi wakipona majeruhi
Final Madrid vs Psg. Kwa beki nzee za Madrid sioni wa kukimbizana na mbape