Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Mtu tumempiga nje ndani aggregate ya 4-2 ..Man city haiwezi kumtoa PSG semi Final, kama mliweza kutepeta kwa Borrusia Dortmund ambayo karibu kikosi kizima ni under twenty mtaweza kupambana na kikosi imara kama PSG ?
Unakuja kusema nini ..
Hivi mpira unaangalia wewe nyang'ao ?
Ninawasiwasi na jinsia yako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app