Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Yaani wasomi kama huyu ndiyo tunawategemea
Nao eti wanabeti ..
Poor
Nao eti wanabeti ..
Poor
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakuwa kimesemwa kitu unachohisi hakiwezekani kwenye mawazo yako?Dah,mnadhalilisha hizi phd au ni Dr wa mifugo?
Utabiri ni Tofauti na Betting..Yaani wasomi kama huyu ndiyo tunawategemea
Nao eti wanabeti ..
Poor
Utabiri unaohusu michezo unaitwaje?Utabiri ni Tofauti na Betting..
Hivi akili Zenu huwa mnazificha wapi??
Simba ya fred?Baada ya kuona Matokeo ya droo ya Timu zitakazocheza Robo Fainali hapa ni Utabiri wangu wa mechi za robo fainali..
kwa timu za Tanzania Yanga atajitutumua atatoa Droo Nyumbani ila Atafungwa Ugenini hivyo kuyaaga mashindano hayo..
Wakati huo Simba atafunga goal nyingi Nyumbani,Ila atafungwa akiwa cairo wingi wa magoal (Aggregate) Utambeba na hivyo kusogea Nusu Fainali..
Asec atafungwa na ES Tunis, Hivyo ES tunis Kupata nafasi ya kuingia Nusu Fainali pamoja na Masandawana..
Huku na huku Mazembe atamchapa Petro na kuingia Nusu fainali huku watashindana mazembe na Simba nusu fainali na Simba ataibuka Mshindi na kwenda kucheza Fainali na Mamelodi..
Japo atakuwa mshindi wa pili mamelod masandawana akichukua CAFCL.
View attachment 2932768
Kuna Tofauti kubwa kati ya Utabiri na ubashiri..Utabiri unaohusu michezo unaitwaje?
Kishabiki sanaHome: Simba 2-1 Al Ahly
Away: Simba 0-1 Al Ahly
NB: Endapo akidaka Youb au Ally Salim
***************************
Home: Yanga 0-2 Mamelod
Away:. Yanga 1-3 Mamelod
NB: Bila Aucho
***************************
Naweka mkeka wa 50k kila mechi mapema sana
Alisema ni nusu final sio finalUkifikiria kwa makini kuhusu kauli ya Hersi akiwa kule Misri, pale aliposema kuwa fainali ni "Al ahly na Mamelod" utagundua kitu
Wazee walisiti, muje mufanye yenu huku.Kwakuwa kimesemwa kitu unachohisi hakiwezekani kwenye mawazo yako?
Tusubiri Baada ya mwezi wa nne turudi tena hapa baada ya Nusu Fainali