Utabiri: Robo Fainali CAFCL, Nusu Fainali Mpaka Mshindi wa CAFCL

Utabiri: Robo Fainali CAFCL, Nusu Fainali Mpaka Mshindi wa CAFCL

Al Ahly wajanja wajanja tu wanaweza kufungwa na Simba sema ni ujanja ujanja tu mechi ya kwanza wanakuja kupoteza muda na mechi ya pili baadhi ya maamuzi tata yanakua kwao huku wakiwa wamepata goli moja basi mechi inaisha hivyo hivyo...
 
Hao Al Ally wafanyiwe ule mkakati ulioitoa Zamaleki wakati ule, watu wabakie midomo wazi. Yanga wajipange watawamudu masandawane.
 
Baada ya kuona Matokeo ya droo ya Timu zitakazocheza Robo Fainali hapa ni Utabiri wangu wa mechi za robo fainali..

kwa timu za Tanzania Yanga atajitutumua atatoa Droo Nyumbani ila Atafungwa Ugenini hivyo kuyaaga mashindano hayo..

Wakati huo Simba atafunga goal nyingi Nyumbani,Ila atafungwa akiwa cairo wingi wa magoal (Aggregate) Utambeba na hivyo kusogea Nusu Fainali..

Asec atafungwa na ES Tunis, Hivyo ES tunis Kupata nafasi ya kuingia Nusu Fainali pamoja na Masandawana..

Huku na huku Mazembe atamchapa Petro na kuingia Nusu fainali huku watashindana mazembe na Simba nusu fainali na Simba ataibuka Mshindi na kwenda kucheza Fainali na Mamelodi..

Japo atakuwa mshindi wa pili mamelod masandawana akichukua CAFCL.

View attachment 2932768
Fainali:- Yanga vs Al Ahly.
 
Fainali:- Yanga vs Al Ahly
Baada ya kuona Matokeo ya droo ya Timu zitakazocheza Robo Fainali hapa ni Utabiri wangu wa mechi za robo fainali..

kwa timu za Tanzania Yanga atajitutumua atatoa Droo Nyumbani ila Atafungwa Ugenini hivyo kuyaaga mashindano hayo..

Wakati huo Simba atafunga goal nyingi Nyumbani,Ila atafungwa akiwa cairo wingi wa magoal (Aggregate) Utambeba na hivyo kusogea Nusu Fainali..

Asec atafungwa na ES Tunis, Hivyo ES tunis Kupata nafasi ya kuingia Nusu Fainali pamoja na Masandawana..

Huku na huku Mazembe atamchapa Petro na kuingia Nusu fainali huku watashindana mazembe na Simba nusu fainali na Simba ataibuka Mshindi na kwenda kucheza Fainali na Mamelodi..

Japo atakuwa mshindi wa pili mamelod masandawana akichukua CAFCL.

View attachment 2932768
Yanga watatawazwa mabingwa CAF 2024/25
 
Huu uzi naona una madini. Mleta uzi nakupongeza in advance kwa maono haya, wengine watakuja kukupongeza baada ya utabiri wako kutimia.

Nautunza uzi huu kwa ajili ya rejea ya baadae.
 
Baada ya kuona Matokeo ya droo ya Timu zitakazocheza Robo Fainali hapa ni Utabiri wangu wa mechi za robo fainali..

kwa timu za Tanzania Yanga atajitutumua atatoa Droo Nyumbani ila Atafungwa Ugenini hivyo kuyaaga mashindano hayo..

Wakati huo Simba atafunga goal nyingi Nyumbani,Ila atafungwa akiwa cairo wingi wa magoal (Aggregate) Utambeba na hivyo kusogea Nusu Fainali..

Asec atafungwa na ES Tunis, Hivyo ES tunis Kupata nafasi ya kuingia Nusu Fainali pamoja na Masandawana..

Huku na huku Mazembe atamchapa Petro na kuingia Nusu fainali huku watashindana mazembe na Simba nusu fainali na Simba ataibuka Mshindi na kwenda kucheza Fainali na Mamelodi..

Japo atakuwa mshindi wa pili mamelod masandawana akichukua CAFCL.

View attachment 2932768
Ushuzi mtupu [emoji100][emoji100]
 
Back
Top Bottom