Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Kama umefuatilia tamthilia ya Razia Sultani, maisha Indra Gandhi na Margaret Thatcher, lolote lawezekana. Lakini kwa utawala wa M/Kiti wa CCM kwa sasa, si rahisi kutabiri, labda tu kama aliowataja watajitokeza kuwania nafasi hiyo ya juu. Tofauti ni hilo, ndoto inabaki kuwa ndoto
Jeeeeesus yani vitu vya tamthilia ambazo 98% viewers wake ni wanawake n watoto uje utolee mfano kwenye majambo serious?

Sick comment!
 
Dr Mwinyi sio Mzanzibari,haijui Zanzibar,hajawahi kuishi Zanzibar,hajui matatizo ya Wazanzibari

Tunataka Mzanzibari mzalendo ambae anaweaza kuwaongoza Wazanzibari kwa maslahi ya Zanzibar

Naona Seif anafaa,wengine wote ni wachumia tumbo tu,vibaraka wa Tanganyika
Sasa unahisi Tanganyika itaruhusu kiongozi ambaye ataleta matatizo?
Alafu nyie watu wa mkoa wa Zanzibar nyie
 
Pazia la kuichukua fomu za kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi huenda likafunguliwa Rasmi muda wowote kuanzia mwezi Juni 2020.

Sina hakika na ndoto yangu, Ila haya ndio niliyoyaona ndotoni.

Nawaona wanaume wawili wakichuana vikali sana, kiasi kwamba wanarandama kwa sifa na haiba inayorandana Kila pahala. Wasomi Hawa wawili wa kiwango cha juu wanazidiana sifa moja tu.
Mmoja ameishi na kukulia Zanzibar na mwingine ameishi na kukulia Dar es Salaam.

Wanaume hao Ni Profesa Makame Mbarawa Mnyaa na Dkt. Hussein Mwinyi.

Naona ukungu mzito watu wengi wanabishana hapana huyu hajakulia na kuishi huku iweje tumkabidhi jukumu zito hivi wakati ana kila nasaba na watu wa bara. Safari hii hatukubali lazima tufanye tutakavyo sisi na sio wao.

Naiona busara kubwa ikitumika kumaliza mgogoro huu kwa turufu ya jinsia. Unazuka mjadala kama ndio hivyo basi wakose wote na akae mwanamke ili kuondoa dhana ya upendeleo na visa vya nani ni nani.

Namuona mwanamke mwenye sauti ya mamlaka na akitokea kwenye kiti chenye maamuzi mazito akikubali kubeba gharama za kuinusuru chama na mpasuko. Namfananisha na Samia Suluhu Hassan. Nyota yake Ni Kali sana na ndiye anayewatuliza wanaume hawa wawili kwa kuvaa kiatu cha kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM huko visiwani Zanzibar.

Ndoto yangu haiishii hapa, namuona Mwenyekiti na kamati yake wanajifungia kwa muda na hawa wanaume wawili Kisha wanakubaliana kitu.

Siku chache baadaye nawaona wanaume hawa wanaongozana hadi Dodoma.

Namuona Mwenyekiti wa wa CCM anapitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu kuwa ndiye mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Nawaona wajumbe wa CCM wanaenda chemba kunong'onezana na kisha Mwenyekiti wa muda anamtangaza Dr. Hussein Mwinyi kubeba bendera ya Chama kama Mgombea mwenza wa Magufuli.

Ndoto inaendelea nawaona wajumbe wakimtaja Profesa kama Makamu Rais wa Zanzibar.

Nawaona wakitoka na nyuso za furaha Kila mmoja.

Usingizi unakatika nashtuka najiuliza ni kweli au ni mawaa ya ndoto.

Ngoja tusubiri media confirmation, mimi nishamaliza ndoto yangu.
CCM inavyowapanga watu kuingia urais wa Zanzibar ni kama risasi kwenye magazini.
 
Uweli huyu mama katulia sana,ni moja kati ya viongozi wasiokuwa na papara katika uongozi wake,nawaza anauwezo wa kufika mbali zaidi kiuongozi.
Kashafika mbali tayari aisee yani kuwa no 2 bado hajafika mbali au mpaka awe raisi wa marekani
 
Donald Trump nae pia Ni babu lakini anaiongoza United States of America..age is just a number....
Ukimuuliza leo kipi kilimsukuma kuiongoza Zanzibar 1995 na kipi kinamsukuma leo hii kuiongoza Zanzibar 2020 to 2025 usishangae akakupa sababu zile zile na ndio maana tunasema apumzike achieved wengine
 
Jeeeeesus yani vitu vya tamthilia ambazo 98% viewers wake ni wanawake n watoto uje utolee mfano kwenye majambo serious?

Sick comment!

Du, Mkuu mbona mtazamo wako ni hasi!

Je, unajua kuwa tamthilia hutungwa kuwakilisha maisha yaliyotokea au yatakayotokea! Vivyo hivyo hata sanaa zingine km nyimbo hutungwa kutokana na maisha halisi au kutabili yatakayotokea.

Ati tamthilia ya Razia Sultan hutazamwa na wanawake na watoto! Mtazamo dume huo. Je, Thatcher na indira Gandhi nao ni wa tamthilia? Kwako wewe hata bandiko kuu, ambalo mwandishi kawakilisha utabiri wake ni upuuzi?

Jeeeesus, what a sick comment!
 
Naheshimu maoni yako, Ila napenda nikwambie huu mwaka utampata fursa kujua Kuna sisi wananchi na Kuna kundi la wafanya maamuzi.

Usije ukashangaa matokeo utayoyaona, Bali itumie Kama fursa kujifunza mwenendo wa siasa hautokani na Wala sio lazima hatma yake iamuliwe na wananchi sometimes wafanya maamuzi ndio hujua Nani Ni sahihi kwa wakati sahihi.
kwa ujumla, Tanzania ipo nyuma sana ki demokrasia. Na sisi wananchi ndio tuna sababisha hivi kwa kuto jiamini.. Kama tumerudi kwenye siasa ya chama kimoja inapaswa serikali kuwajulisha raia wake na kama ni nchi ya demokrasia pia liwekwe wazi. Masuala ya kuchaguliwa viongozi tuliyakataa zamani na sasa hivi sisi wazanzibari tunajitayarisha kwa hali yoyote ijayo. Maraisi wa dodoma mwisho ni Dr. Shein..
 
Pazia la kuichukua fomu za kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi huenda likafunguliwa Rasmi muda wowote kuanzia mwezi Juni 2020.

Sina hakika na ndoto yangu, Ila haya ndio niliyoyaona ndotoni.

Nawaona wanaume wawili wakichuana vikali sana, kiasi kwamba wanarandama kwa sifa na haiba inayorandana Kila pahala. Wasomi Hawa wawili wa kiwango cha juu wanazidiana sifa moja tu.
Mmoja ameishi na kukulia Zanzibar na mwingine ameishi na kukulia Dar es Salaam.

Wanaume hao Ni Profesa Makame Mbarawa Mnyaa na Dkt. Hussein Mwinyi.

Naona ukungu mzito watu wengi wanabishana hapana huyu hajakulia na kuishi huku iweje tumkabidhi jukumu zito hivi wakati ana kila nasaba na watu wa bara. Safari hii hatukubali lazima tufanye tutakavyo sisi na sio wao.

Naiona busara kubwa ikitumika kumaliza mgogoro huu kwa turufu ya jinsia. Unazuka mjadala kama ndio hivyo basi wakose wote na akae mwanamke ili kuondoa dhana ya upendeleo na visa vya nani ni nani.

Namuona mwanamke mwenye sauti ya mamlaka na akitokea kwenye kiti chenye maamuzi mazito akikubali kubeba gharama za kuinusuru chama na mpasuko. Namfananisha na Samia Suluhu Hassan. Nyota yake Ni Kali sana na ndiye anayewatuliza wanaume hawa wawili kwa kuvaa kiatu cha kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM huko visiwani Zanzibar.

Ndoto yangu haiishii hapa, namuona Mwenyekiti na kamati yake wanajifungia kwa muda na hawa wanaume wawili Kisha wanakubaliana kitu.

Siku chache baadaye nawaona wanaume hawa wanaongozana hadi Dodoma.

Namuona Mwenyekiti wa wa CCM anapitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu kuwa ndiye mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Nawaona wajumbe wa CCM wanaenda chemba kunong'onezana na kisha Mwenyekiti wa muda anamtangaza Dr. Hussein Mwinyi kubeba bendera ya Chama kama Mgombea mwenza wa Magufuli.

Ndoto inaendelea nawaona wajumbe wakimtaja Profesa kama Makamu Rais wa Zanzibar.

Nawaona wakitoka na nyuso za furaha Kila mmoja.

Usingizi unakatika nashtuka najiuliza ni kweli au ni mawaa ya ndoto.

Ngoja tusubiri media confirmation, mimi nishamaliza ndoto yangu.
Subiri GOGOKI ataupdate maana anafatilia kikao cha KISIWANDUI......Ila kasema kwamba Mgombea Wa Meko anapigwa Chini ,Sasa sijajua kama mgombea wa Meko ni Dr Hussein Mwinyi au mwingine?
 
Sasa unahisi Tanganyika itaruhusu kiongozi ambaye ataleta matatizo?
Alafu nyie watu wa mkoa wa Zanzibar nyie
Tanganyika haiwezi kuruhusu Mkoa wake uponyoke..

Je Wazanzibari wataruhusu kunyanyaswa kisiasa na Wakoloni Weusi
 
HIVI ZANZIBAR NI NCHI YA KIFALME NAONA MWINYI MWINYI WATU WAMEISHA HUKO ZENJ?
Machifu wa kisarawe hao,Hii ni milki yao waliopindua wazee wa Sakura.
Usishangae hata kusikia Masauni,wa Muhoro, au
Mustafa A.Jumbe wa Kisiju.
Wote ni Maajent wa Tanganyika.
 
Ukimuuliza leo kipi kilimsukuma kuiongoza Zanzibar 1995 na kipi kinamsukuma leo hii kuiongoza Zanzibar 2020 to 2025 usishangae akakupa sababu zile zile na ndio maana tunasema apumzike achieved wengine
Hizo sababu ndizo zinawafanya Wazanzibari wamkubali huyo Babu

Wazanzibari hawampendi Seif,wanapenda SERA za siasa zake....

Seif akifa leo SERA zake zitaendelezwa na mwengine..
 
Tanganyika haiwezi kuruhusu Mkoa wake uponyoke..

Je Wazanzibari wataruhusu kunyanyaswa kisiasa na Wakoloni Weusi
Tunawanyanyasaje hao wazenji?
Wametaka nini tumewanyima deni la umeme lenyewe tumewasemehe
 
Kongole mkuu
This is a Mark on the stone
👍 🙏
 
Kiukweli hiyo ni ndoto mzuri na very logical
Ratiba ya uchukuaji fomu za urais wa Zanzibar kwa CCM Zanzibar yatoka,
View attachment 1461992
Huku baadhi ya majina na ellectability percentage zao zikitajwa na Binti mmoja wa Kizanzibari.

USIWE WA MWISHO KUWAJUA WATARAJIWA WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR
1. Dk. Hussein Mwinyi 75%
2.Haji Omar Kheir 60%
3.Mohamed Aboud 58%
4.Mahamoud Thabit Kombo 53%
5.Dk Khalid Salum 51%
6.Shamis Vuai 50%
7.Dk. Mohamed Dimwa 49%
8.Prof. Makame Mbarawa 48%
9.Mgeni Hassan Juma 47%
10. Balozi Mahadhi 78%
11.Canal Nassor NASA 45%
12.Eng. Yusuf Masauni 43%
13.Issa Haji Gavu 42%
14.Khamis Mussa 41%
15.Balozi Ramia 48%
16. Balozi Mohamed Hamza 40%
17. Salam Aboud Talib 21%
18. Balozi Amina Salum Ally 20%

NB
Tano Bora na Tatu Bora mutajua nyinyi wasomaji by Binti wa Kizanzibari.
My Take
Safari hii, Mhe. Samia Suluhu Hassan hajatajwa kabisa kuwania urais wa Zanzibar kwasababu nafasi aliyonayo sasa ya VP kwa ki hierarchy ya JMT, ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, hivyo hakuhesabiwa!. Sijui kigezo kilicho tumika kwasababu rais wa sasa wa Zanzibar, Dr. Ali Mohammed Shein alikuwa VP kwa miaka 10 ndipo akaenda urais wa Zanzibar.

Na kwa vile ni muda mrefu Tanzania hatujapata rais wa JMT kutoka Zanzibar, na ile kanuni ya siri ya kupokezana urais wa JMT kwa Mkristo na Muislamu, kuwa akitoka rais Mkristo lazima afuatiwe na Muislamu, na rais Magufuli ni Mkristo, hivyo anayemfuatia ni Muislamu, then Dr. Hussein Mwinyi ana chances kubwa kuvaa viatu vya baba yake Ali Hassan Mwinyi kwa kuwa rais wa Zanzibar 2020-2025, kisha kuja kumpokea Magufuli huku bara 2025

Dr. Hussein Mwinyi ndio fursa nyingine kwa Mzanzibari kuja kuwa rais wa JMT baada ya rais Mwinyi.

Prof. Mbarawa pia Presidential material na niliwahi kum Profile humu,
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe? - JamiiForums

P
Zanzibar ni kitamaduni ni kama nchi ya ki-cheif/ku-sultani na haijawahi kutokea sultani mwanamke.

Ila Paskali kama logic yako ya Dr. Hussein kuchukua Urais wa Zenji 5 years then baada ya Mkulu wa sasa ahamie huku; mantiki inagoma ila hakuna kisichowezekana chini ya jua.

Ila muato ndoto nae anaweza kuwa na sense, kama ilivyokuwa 2010 kwenye kinyang'anyiro cha Uspika wa Bunge, CC ikasema safari hii mwanamke then Mana Anne Makinda akapenyea hapo. Kwa muktadha huo VP ni mkubwa ki-hierach ila huenda Mama Samia akapata hadhi ya kutembea kwenye red carpet, kupigiwa mizinga na kuandamana na Kanali kama mpambe. Anaweza kukubali kushuka ki-hierach ila akatamani kuzungukwa na kuwa boss wa visiwa wa marashi ya pemba.

Siku 60 kuanzia leo kitakuwa kishaeleweka na tutakuwa tunawatakiwa kila la kheri wazenji kwenye uchanguzi, maana anaepenya kwa dirisha la CCM bila shaka mfumo hupelekea kuchaguliwa na kutangazwa na maisha yakaendelea.
Wenye turufu hapa ni CC na NEC; kinachobakia huku, huwa ni formality
 
Pazia la kuichukua fomu za kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi huenda likafunguliwa Rasmi muda wowote kuanzia mwezi Juni 2020.

Sina hakika na ndoto yangu, Ila haya ndio niliyoyaona ndotoni.

Nawaona wanaume wawili wakichuana vikali sana, kiasi kwamba wanarandama kwa sifa na haiba inayorandana Kila pahala. Wasomi Hawa wawili wa kiwango cha juu wanazidiana sifa moja tu.
Mmoja ameishi na kukulia Zanzibar na mwingine ameishi na kukulia Dar es Salaam.

Wanaume hao Ni Profesa Makame Mbarawa Mnyaa na Dkt. Hussein Mwinyi.

Naona ukungu mzito watu wengi wanabishana hapana huyu hajakulia na kuishi huku iweje tumkabidhi jukumu zito hivi wakati ana kila nasaba na watu wa bara. Safari hii hatukubali lazima tufanye tutakavyo sisi na sio wao.

Naiona busara kubwa ikitumika kumaliza mgogoro huu kwa turufu ya jinsia. Unazuka mjadala kama ndio hivyo basi wakose wote na akae mwanamke ili kuondoa dhana ya upendeleo na visa vya nani ni nani.

Namuona mwanamke mwenye sauti ya mamlaka na akitokea kwenye kiti chenye maamuzi mazito akikubali kubeba gharama za kuinusuru chama na mpasuko. Namfananisha na Samia Suluhu Hassan. Nyota yake Ni Kali sana na ndiye anayewatuliza wanaume hawa wawili kwa kuvaa kiatu cha kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM huko visiwani Zanzibar.

Ndoto yangu haiishii hapa, namuona Mwenyekiti na kamati yake wanajifungia kwa muda na hawa wanaume wawili Kisha wanakubaliana kitu.

Siku chache baadaye nawaona wanaume hawa wanaongozana hadi Dodoma.

Namuona Mwenyekiti wa wa CCM anapitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu kuwa ndiye mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Nawaona wajumbe wa CCM wanaenda chemba kunong'onezana na kisha Mwenyekiti wa muda anamtangaza Dr. Hussein Mwinyi kubeba bendera ya Chama kama Mgombea mwenza wa Magufuli.

Ndoto inaendelea nawaona wajumbe wakimtaja Profesa kama Makamu Rais wa Zanzibar.

Nawaona wakitoka na nyuso za furaha Kila mmoja.

Usingizi unakatika nashtuka najiuliza ni kweli au ni mawaa ya ndoto.

Ngoja tusubiri media confirmation, mimi nishamaliza ndoto yangu.
Pole sana usilolijuwa....
 
Mama Samia hatagombea uraisi Zanzibar, (i) Kwa sababu cheo alichonacho sasa ni kikubwa kuliko uraisi wa Zanzibar; & (ii) Watanzania wa Zanzibar kama ilivyo bara hatuko tayari kuongozwa na mwanamke katika madaraka ya uraisi.
Kwanini?
 
Za
Kiukweli hiyo ni ndoto mzuri na very logical
Ratiba ya uchukuaji fomu za urais wa Zanzibar kwa CCM Zanzibar yatoka,
View attachment 1461992
Huku baadhi ya majina na ellectability percentage zao zikitajwa na Binti mmoja wa Kizanzibari.

USIWE WA MWISHO KUWAJUA WATARAJIWA WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR
1. Dk. Hussein Mwinyi 75%
2.Haji Omar Kheir 60%
3.Mohamed Aboud 58%
4.Mahamoud Thabit Kombo 53%
5.Dk Khalid Salum 51%
6.Shamis Vuai 50%
7.Dk. Mohamed Dimwa 49%
8.Prof. Makame Mbarawa 48%
9.Mgeni Hassan Juma 47%
10. Balozi Mahadhi 78%
11.Canal Nassor NASA 45%
12.Eng. Yusuf Masauni 43%
13.Issa Haji Gavu 42%
14.Khamis Mussa 41%
15.Balozi Ramia 48%
16. Balozi Mohamed Hamza 40%
17. Salam Aboud Talib 21%
18. Balozi Amina Salum Ally 20%

NB
Tano Bora na Tatu Bora mutajua nyinyi wasomaji by Binti wa Kizanzibari.
My Take
Safari hii, Mhe. Samia Suluhu Hassan hajatajwa kabisa kuwania urais wa Zanzibar kwasababu nafasi aliyonayo sasa ya VP kwa ki hierarchy ya JMT, ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, hivyo hakuhesabiwa!. Sijui kigezo kilicho tumika kwasababu rais wa sasa wa Zanzibar, Dr. Ali Mohammed Shein alikuwa VP kwa miaka 10 ndipo akaenda urais wa Zanzibar.

Na kwa vile ni muda mrefu Tanzania hatujapata rais wa JMT kutoka Zanzibar, na ile kanuni ya siri ya kupokezana urais wa JMT kwa Mkristo na Muislamu, kuwa akitoka rais Mkristo lazima afuatiwe na Muislamu, na rais Magufuli ni Mkristo, hivyo anayemfuatia ni Muislamu, then Dr. Hussein Mwinyi ana chances kubwa kuvaa viatu vya baba yake Ali Hassan Mwinyi kwa kuwa rais wa Zanzibar 2020-2025, kisha kuja kumpokea Magufuli huku bara 2025

Dr. Hussein Mwinyi ndio fursa nyingine kwa Mzanzibari kuja kuwa rais wa JMT baada ya rais Mwinyi.

Prof. Mbarawa pia Presidential material na niliwahi kum Profile humu,
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe? - JamiiForums
Zanzibar ni HUSSEIN MWINYI vs PR.MBARAWA

and ukiangalia kwa top leader wa nchi wanamuangalia mbarawa zaid japo Hussein mwinyi kaandaliwa muda mrefu.
Time will tell
 
Back
Top Bottom