Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Mambo yameiva huko visiwani na jamaa wote wamechukua fomu. Kipande cha kwanza nimemaliza kinakuja cha pili mtifuano kwenye mchakato wa uteuzi.
 
Na Samia kachukua?
Sio wote wanaochukua fomu lazima wafanye mbwembwe. Yumkini kashachukua na kasharudisha. Yumkini Ni option mbadala amabayo inalindwa.
Soma ndoto vizuri halafu tafakari Kuna ulazima wa Samia kuichukua au anaweza teuliwa na cc ya CCM.
 
UTABIRI kumhusu Makamu wa R
Pazia la kuichukua fomu za kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi huenda likafunguliwa Rasmi muda wowote kuanzia mwezi Juni 2020.

Sina hakika na ndoto yangu, Ila haya ndio niliyoyaona ndotoni.

Nawaona wanaume wawili wakichuana vikali sana, kiasi kwamba wanarandama kwa sifa na haiba inayorandana Kila pahala. Wasomi Hawa wawili wa kiwango cha juu wanazidiana sifa moja tu.
Mmoja ameishi na kukulia Zanzibar na mwingine ameishi na kukulia Dar es Salaam.

Wanaume hao Ni Profesa Makame Mbarawa Mnyaa na Dkt. Hussein Mwinyi.

Naona ukungu mzito watu wengi wanabishana hapana huyu hajakulia na kuishi huku iweje tumkabidhi jukumu zito hivi wakati ana kila nasaba na watu wa bara. Safari hii hatukubali lazima tufanye tutakavyo sisi na sio wao.

Naiona busara kubwa ikitumika kumaliza mgogoro huu kwa turufu ya jinsia. Unazuka mjadala kama ndio hivyo basi wakose wote na akae mwanamke ili kuondoa dhana ya upendeleo na visa vya nani ni nani.

Namuona mwanamke mwenye sauti ya mamlaka na akitokea kwenye kiti chenye maamuzi mazito akikubali kubeba gharama za kuinusuru chama na mpasuko. Namfananisha na Samia Suluhu Hassan. Nyota yake Ni Kali sana na ndiye anayewatuliza wanaume hawa wawili kwa kuvaa kiatu cha kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM huko visiwani Zanzibar.

Ndoto yangu haiishii hapa, namuona Mwenyekiti na kamati yake wanajifungia kwa muda na hawa wanaume wawili Kisha wanakubaliana kitu.

Siku chache baadaye nawaona wanaume hawa wanaongozana hadi Dodoma.

Namuona Mwenyekiti wa wa CCM anapitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu kuwa ndiye mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Nawaona wajumbe wa CCM wanaenda chemba kunong'onezana na kisha Mwenyekiti wa muda anamtangaza Dr. Hussein Mwinyi kubeba bendera ya Chama kama Mgombea mwenza wa Magufuli.

Ndoto inaendelea nawaona wajumbe wakimtaja Profesa kama Makamu Rais wa Zanzibar.

Nawaona wakitoka na nyuso za furaha Kila mmoja.

Usingizi unakatika nashtuka najiuliza ni kweli au ni mawaa ya ndoto.

Ngoja tusubiri media confirmation, mimi nishamaliza ndoto yangu.


Updates :

Dr.Mabodi ameonekana kupitia habari ya saa mbili usiku leo akitangaza kuwa zoezi kuichukua fomu ya Urais Zanzibar limefunguliwa na mkutano wenye kuamua mgombea utafanyika dodoma.
Hii Ni kwa sababu mgombea wa CCM anateuliwa na Halmashauri kuu ya Chama ambayo inakutana makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi pale dodoma.
Modes mnisaidie kuedit mbugi imeanza rasmi na tuone ndoto ikitimia au ikipotea


UPDATES

MEDIA CONFIRMATION # 1
HABARI ZA HUSSEIN MWINYI KUCHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBARView attachment 1483275



View attachment 1483276View attachment 1483277



MEDIA CONFIRMATION #2
PROFESA MAKAME MBARAWA MNYAA ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR



View attachment 1483275View attachment 1483276View attachment 1483277


MEDIA CONFIRMATION #2
PROESA MAKAME MBARAWA ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR

View attachment 1483275View attachment 1483276View attachment 1483277


MEDIA CONFIRMATION #2
PROFESA MAKAME MBARAWA MNAA ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR



View attachment 1483288View attachment 1483289


lets continue to nomination stage,.........
Kwa dhana hiyo ya kupokezana vijiti vya Urais wa JMT, basi baada ya Dr Magufuli uwezekano wa kupewa Mama Suluhu ni mkubwa wakati huo Dr Mwinyi akiendelea kuwa Rais na M/Kiti wa Baraza la Mapinduzi, Zanzibar. Ikitokea hivyo, Makamu wa Rais wa JMT huenda akawa Mh Majaliwa na hao wawili wakampendekeza Jaffo kuwa Waziri Mkuu.

Nami ni ndoto tu. Nawatakieni mwanzo wa W/end njema, baada ya shamra shamra za Eid Mubarak, na "byebye" Mh COVID-19
UTABIRI kumhusu Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassani umeshindwa hata kabla jua halijachwa! Ni vizuri watu tuwe wavumilivu na tusubiri mambo yaende yenyewe. Hata hivyo kuchangamsha baraza kwa vijembe kama hivyoSI VIBAYA ili muda uende haraka. AU SIYO?
 
Allah atamfanyia atamfanyia wepesi Dr. Hussein na atakuwa rais ajaye wa zanzibar in 20 days time
 
UTABIRI kumhusu Makamu wa R


UTABIRI kumhusu Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassani umeshindwa hata kabla jua halijachwa! Ni vizuri watu tuwe wavumilivu na tusubiri mambo yaende yenyewe. Hata hivyo kuchangamsha baraza kwa vijembe kama hivyoSI VIBAYA ili muda uende haraka. AU SIYO?
Soma vizuri ndoto yangu. Nimewataja watu wawili wenye nguvu Makame na MWINYI. Nimeisemea mamlaka ya maamuzi ikilumbana vikali Sana. Muda wa ndoto ndio huu, na ule mgogoro ndio muda wake umewadia. Je, Ni kweli mzizano wao utailazimu kamati kuu kumteua Samia badala ya hawa wengine ili kuinusuru chama?
Let's wait and see , Ila muda ndio huu
 
Dr.Mwinyi anaelekea kukabidhiwa nyundo ya kuungoa Msumari wa mwisho wa jahazi la CCM,
Ndo hivyo mauti ni mauti tuu CCM ni lazima ikae matanga bada ya kuwa ICU kwa muda mrefu bila kuleta Matumaini ya kurejea fahamu zake na ilhali inazidi kudhoofika kila uchao.
CCM Bye ,CCM bye naiona kando kando ya kaburi ikingojea kutelemshwa kwenye mwanandani
Ahhaaaa ,kumbe nilikuwa naota?
 
Mwinyi ni kijana mzuri,lakini kwa Zanzibar yeye si kwao na haishi huku ,bali Wazee wake tuu ndio wennye asili ya Zanzibar.
Hata kusoma hakusomea huku .
Hana Marafiki,wala makundi,
Hjuwi janja weed wala vikosi vya CCM KVZ ,vya kufanya fuja na kupiga watu wasio na hatia.
Ikiwa atapewa Ridhaa au watapora kama kawaida yao, basi kazi ipo ya kuleta mtifuko mpya wasiasa Zanzibar.

Lakini na Ajiandae kupokea maiti ya CCM kaburini kwa mazishi ya heshima.
2020- mwisho wa CCM zanzibar naikiwezekana TZ
 
Pazia la kuichukua fomu za kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi huenda likafunguliwa Rasmi muda wowote kuanzia mwezi Juni 2020.

Sina hakika na ndoto yangu, Ila haya ndio niliyoyaona ndotoni.

Nawaona wanaume wawili wakichuana vikali sana, kiasi kwamba wanarandama kwa sifa na haiba inayorandana Kila pahala. Wasomi Hawa wawili wa kiwango cha juu wanazidiana sifa moja tu.
Mmoja ameishi na kukulia Zanzibar na mwingine ameishi na kukulia Dar es Salaam.

Wanaume hao Ni Profesa Makame Mbarawa Mnyaa na Dkt. Hussein Mwinyi.

Naona ukungu mzito watu wengi wanabishana hapana huyu hajakulia na kuishi huku iweje tumkabidhi jukumu zito hivi wakati ana kila nasaba na watu wa bara. Safari hii hatukubali lazima tufanye tutakavyo sisi na sio wao.

Naiona busara kubwa ikitumika kumaliza mgogoro huu kwa turufu ya jinsia. Unazuka mjadala kama ndio hivyo basi wakose wote na akae mwanamke ili kuondoa dhana ya upendeleo na visa vya nani ni nani.

Namuona mwanamke mwenye sauti ya mamlaka na akitokea kwenye kiti chenye maamuzi mazito akikubali kubeba gharama za kuinusuru chama na mpasuko. Namfananisha na Samia Suluhu Hassan. Nyota yake Ni Kali sana na ndiye anayewatuliza wanaume hawa wawili kwa kuvaa kiatu cha kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM huko visiwani Zanzibar.

Ndoto yangu haiishii hapa, namuona Mwenyekiti na kamati yake wanajifungia kwa muda na hawa wanaume wawili Kisha wanakubaliana kitu.

Siku chache baadaye nawaona wanaume hawa wanaongozana hadi Dodoma.

Namuona Mwenyekiti wa wa CCM anapitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu kuwa ndiye mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Nawaona wajumbe wa CCM wanaenda chemba kunong'onezana na kisha Mwenyekiti wa muda anamtangaza Dr. Hussein Mwinyi kubeba bendera ya Chama kama Mgombea mwenza wa Magufuli.

Ndoto inaendelea nawaona wajumbe wakimtaja Profesa kama Makamu Rais wa Zanzibar.

Nawaona wakitoka na nyuso za furaha Kila mmoja.

Usingizi unakatika nashtuka najiuliza ni kweli au ni mawaa ya ndoto.

Ngoja tusubiri media confirmation, mimi nishamaliza ndoto yangu.


Updates :

Dr.Mabodi ameonekana kupitia habari ya saa mbili usiku leo akitangaza kuwa zoezi kuichukua fomu ya Urais Zanzibar limefunguliwa na mkutano wenye kuamua mgombea utafanyika dodoma.
Hii Ni kwa sababu mgombea wa CCM anateuliwa na Halmashauri kuu ya Chama ambayo inakutana makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi pale dodoma.
Modes mnisaidie kuedit mbugi imeanza rasmi na tuone ndoto ikitimia au ikipotea


UPDATES

MEDIA CONFIRMATION # 1
HABARI ZA HUSSEIN MWINYI KUCHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBARView attachment 1483275



View attachment 1483276View attachment 1483277



MEDIA CONFIRMATION #2
PROFESA MAKAME MBARAWA MNYAA ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR



View attachment 1483275View attachment 1483276View attachment 1483277


MEDIA CONFIRMATION #2
PROESA MAKAME MBARAWA ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR

View attachment 1483275View attachment 1483276View attachment 1483277


MEDIA CONFIRMATION #2
PROFESA MAKAME MBARAWA MNAA ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR



View attachment 1483288View attachment 1483289


lets continue to nomination stage,..utabiri umetimia katika upande mwingine wa Muungano ,kongole Rais Samia Suluhu Hassani
 
Inawezekana upo sahihi hasa kwa kufuata trend ya viongozi waliopita.Si Waswahili husema maji hufuata mkondo?!!!.
Mkondo wa urithi wa kiti cha urais wa jamhuri umembeba Samia Suluhu , leo hii ametimia maono angu

Japo ni kweli ki protokali VP ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, ila kimamlaka, VP ni just a ceremonial position as a standby, in case something happens to the president, lakini hana mamlaka yoyote, hana powers zozote za kufanya chochote na hata akikaumu urais hawezi kusaini chochote, zaidi ya kutembea na mikasi na kumwakilisha rais kwenye events, lakini rais wa Zanzibar ni rais kweli wa nchi ndani ya nchi, ana dola, ana nguvu na ana mamlaka, hivyo kiutendaji Rais wa Zanzibar ana madaraka na mamlaka kuliko VP.

P.
Kaka mkubwa ile incase imetimia, sijui tunaitae na ndotoo urais imetimia upande wa jamhuri. tukimaliza msiba tuliadili hili bandiko
 
Nitamshukuru kama SSH atawaondoa wale waliopata teuzi kwa kupiga debe na kuunga juhudi bila kuwa na sifa za kiongozi.
 
Nitamshukuru kama SSH atawaondoa wale waliopaya teuzi kwa kupiga debe na kufunga juhudi bila kuwa na sifa za kiongozi.
UTABIRI kumhusu Makamu wa R


UTABIRI kumhusu Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassani umeshindwa hata kabla jua halijachwa! Ni vizuri watu tuwe wavumilivu na tusubiri mambo yaende yenyewe. Hata hivyo kuchangamsha baraza kwa vijembe kama hivyoSI VIBAYA ili muda uende haraka. AU SIYO?
nyota ya urais imempenda mama SSH, tumalize msiba tulijadili na hili jambo kwa undani hata mimi sielewi
 
Nchi zetu hizi zenye demokrasia kiduchu bado sana kuongozwa na mwanamke. Tujenge kwanza misingi ya demokrasia na utawala bora ndipo wapewe nchi wanawake. Bado sana Afrika
kaka mwanamke kashachukua nci huku na leo kwenye speech kasema wanaohani mwanamke hawezi yeye kasshaweza na ngoma isambe
 
Pazia la kuichukua fomu za kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi huenda likafunguliwa Rasmi muda wowote kuanzia mwezi Juni 2020.

Sina hakika na ndoto yangu, Ila haya ndio niliyoyaona ndotoni.

Nawaona wanaume wawili wakichuana vikali sana, kiasi kwamba wanarandama kwa sifa na haiba inayorandana Kila pahala. Wasomi Hawa wawili wa kiwango cha juu wanazidiana sifa moja tu.
Mmoja ameishi na kukulia Zanzibar na mwingine ameishi na kukulia Dar es Salaam.

Wanaume hao Ni Profesa Makame Mbarawa Mnyaa na Dkt. Hussein Mwinyi.

Naona ukungu mzito watu wengi wanabishana hapana huyu hajakulia na kuishi huku iweje tumkabidhi jukumu zito hivi wakati ana kila nasaba na watu wa bara. Safari hii hatukubali lazima tufanye tutakavyo sisi na sio wao.

Naiona busara kubwa ikitumika kumaliza mgogoro huu kwa turufu ya jinsia. Unazuka mjadala kama ndio hivyo basi wakose wote na akae mwanamke ili kuondoa dhana ya upendeleo na visa vya nani ni nani.

Namuona mwanamke mwenye sauti ya mamlaka na akitokea kwenye kiti chenye maamuzi mazito akikubali kubeba gharama za kuinusuru chama na mpasuko. Namfananisha na Samia Suluhu Hassan. Nyota yake Ni Kali sana na ndiye anayewatuliza wanaume hawa wawili kwa kuvaa kiatu cha kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM huko visiwani Zanzibar.

Ndoto yangu haiishii hapa, namuona Mwenyekiti na kamati yake wanajifungia kwa muda na hawa wanaume wawili Kisha wanakubaliana kitu.

Siku chache baadaye nawaona wanaume hawa wanaongozana hadi Dodoma.

Namuona Mwenyekiti wa wa CCM anapitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu kuwa ndiye mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Nawaona wajumbe wa CCM wanaenda chemba kunong'onezana na kisha Mwenyekiti wa muda anamtangaza Dr. Hussein Mwinyi kubeba bendera ya Chama kama Mgombea mwenza wa Magufuli.

Ndoto inaendelea nawaona wajumbe wakimtaja Profesa kama Makamu Rais wa Zanzibar.

Nawaona wakitoka na nyuso za furaha Kila mmoja.

Usingizi unakatika nashtuka najiuliza ni kweli au ni mawaa ya ndoto.

Ngoja tusubiri media confirmation, mimi nishamaliza ndoto yangu.


Updates :

Dr.Mabodi ameonekana kupitia habari ya saa mbili usiku leo akitangaza kuwa zoezi kuichukua fomu ya Urais Zanzibar limefunguliwa na mkutano wenye kuamua mgombea utafanyika dodoma.
Hii Ni kwa sababu mgombea wa CCM anateuliwa na Halmashauri kuu ya Chama ambayo inakutana makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi pale dodoma.
Modes mnisaidie kuedit mbugi imeanza rasmi na tuone ndoto ikitimia au ikipotea


UPDATES

MEDIA CONFIRMATION # 1
HABARI ZA HUSSEIN MWINYI KUCHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBARView attachment 1483275



View attachment 1483276View attachment 1483277



MEDIA CONFIRMATION #2
PROFESA MAKAME MBARAWA MNYAA ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR



View attachment 1483275View attachment 1483276View attachment 1483277


MEDIA CONFIRMATION #2
PROESA MAKAME MBARAWA ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR

View attachment 1483275View attachment 1483276View attachment 1483277


MEDIA CONFIRMATION #2
PROFESA MAKAME MBARAWA MNAA ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR



View attachment 1483288View attachment 1483289


lets continue to nomination stage,.........
Njoo u edit thread yako we noma
 
The opposite is very true, Mwinyi will preside over Zanzibar in the interim of 5yrs before he becomes the URT President this is for sure. Best wishes Broo, I wanna be there so God keep alive to witness all this. I submit.
submission accepted!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkondo wa urithi wa kiti cha urais wa jamhuri umembeba Samia Suluhu , leo hii ametimia maono angu


Kaka mkubwa ile incase imetimia, sijui tunaitae na ndotoo urais imetimia upande wa jamhuri. tukimaliza msiba tuliadili hili bandiko
Mbona kama utabiri wako uliingia chaka?
 
Yaani atoke uRais wa JMT aende Zanzibar 2025??.. kwanini usiwaze kwamba atapewa mitano Tena 2025-2030
 
Back
Top Bottom