REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Mzee umesikia Bukoba ukoHakuna kitu kama hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee umesikia Bukoba ukoHakuna kitu kama hicho
Sio habari mpya tenaMzee umesikia Bukoba uko
Tuambie basi yanga tunavuka hatuvuki c
Kenya airways maybe.Umetimia nusu maana precision logo yake sio nyekundu. Huenda utabiri wake ni wa ajali nyingine
Hii, ilitosha kutahadharisha. Ulimaliza kazi yako kiongoziSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo...
Ndoto wakti mwingine zinasema behind nyekundu mwenzie njano kaka utabiri umetimia asilimia 95Utabiri haujatimia , labda tutegemee ajali nyingine , haina logo nyekundu , na haijakatika ....!!
Noted nyekundu mwenzie njano utabiri asilimia 98 mpaka hapoKwenye vipande viwili inaweza kuwa kweli, kuna mvuvi alionekena akiwa amebeba kipande cha ndege ambacho ni pua ya mbele, kwenye maono kuna vitu vingine havionekenagi clear ila mwenyewe tu ndo unajiongeza kutafisiri...
Neno air ni rangi gani
Waambie wale wa DAMU ya YESU mrudi kwenye uzi wangu,Mwamposa mwenyewe hii kitu hajaona na makelele yake ya YESU kila sikuWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Duh...!. Mkuu maharage ya ukweni , wewe ni noma!. Nimeanzia hapa Ndoto zilizokamilika, ndipo nilaja hapa, Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiriaSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo...
Duuuh, japokua sio 100% kama ulivyotabiri ila hii ni balaa!Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waambie wale wa DAMU ya YESU mrudi kwenye uzi wangu,Mwamposa mwenyewe hii kitu hajaona na makelele yake ya YESU kila siku
Kaka Pasco watu wengine wanadhani natafuta kick,ila mambo yanaanza kutokea kiroho Kimwili ni finishing tu.Duh...!.
Nabii hakubaliki nyumbani!.
P
Una hali gani huko ulipo kiongoziWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Kaka Pasco watu wengine wanadhani natafuta kick,ila mambo yanaanza kutokea kiroho Kimwili ni finishing tu.
In Jesus name[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Faida ya Kumtukana usha ipataa.!?!.. in JESUS NAME.?Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Imekatika kichwa na part iliyobaki