Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

huyo mwanga utabiri wake umekaribia kuwa wa kweli maana mtoto mdogo amepona na mama yake , ila rangi nyekundu sio precision air hamna hiyo rangi, ila mwanga yuko vizuri huyo
 
Salaam Aleykum

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo...
Duh...!. Mkuu maharage ya ukweni , wewe ni noma!. Nimeanzia hapa Ndoto zilizokamilika, ndipo nilaja hapa, Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Kiukweli maharage ya ukweni unatisha!, sio kama yale maharage ya Mbeya ya maji maramoja, haya yako ni ya ukweli kabisa!.

Japo Nabii hakubaliki nyumbani!, lakini utabiri ni utabiri tuu, sio lazima uzingatiwe sana lakini usipuuzwe!.

Mfano ajali ya ndege hii iliyotabiriwa hapa, bado haijatokea, ndege ya kwenye utabiri huu ni ndege nyekundu na ingekatika katikati, ndege iliyoanguka ni sio nyekundu na haijakatika popote!.
Rip Marehemu wetu,
Wafiwa poleni!.

P
 
Salaam Aleykum

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo...
Duuuh, japokua sio 100% kama ulivyotabiri ila hii ni balaa!
 
Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
In Jesus name[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Faida ya Kumtukana usha ipataa.!?!.. in JESUS NAME.?
 
Back
Top Bottom