Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Sawa. Kwa sasa unasemaje? Au umepotea kwa ndege?
 
Nilifanikiwa kwa asilimia kubwa
*ndege nyekundu no
*vifo na majeruhi no
*ndege kukatika katikati no
Taarifa kamili hakuna vifo wala majeruhi na ndege haijakatika katikati
Ushindwe mwenyewe na hizo keywords hapo juu
Aiseee?
 
Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Je wewe ni mpumbavu?
 
Aiyetangulia kuokolewa ni mtoto , then mchina , baadae mchina akapewa mtoto amshike ,akafuatiwa na mama mjamzito. Hii ni accorsing to yule mwokozi Majaliwa
 
Basi tunakupa wewe...kenge kabisa ww
Msimpe credit mtoa mada mana ni muongo km waongo wengine

Angekuwa anajua mambo ya mbele angesema direct kwamba ndege fulani, inatokea mkoa flan kwenda mkoa fulani,watakufa abiria kadhaaa,wapona kadhaa
 
Hiyo siyo salamu ya Kiislamu ni salamu inayotumika na wanaozungumza lugha ya kiarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…