Mr perfect
Senior Member
- May 17, 2013
- 152
- 141
Kaka Pasco watu wengine wanadhani natafuta kick,ila mambo yanaanza kutokea kiroho Kimwili ni finishing tu.
Lakini jamaa alitabiri hadi kifo cha Magufufuli. Alitairi toka mwaka 2016 kwamba Magufuli atafariki awamu ya pili. Bahati mbaya ile thread imefungwa comment lakini ipo.Sikuzuii kuwaza unavyowaza lakini hii bado ni chai.
Kiongozi ni maono tu wala sipigi ramli,sema kitendo cha wale jamaa ZANGU wa DAMU YA YESU kunifata PM ni miongoni mwa maajabu saba ya dunia yaani 7 WONDERS OF THE WORLD
Ndio nn HK umeandika"Ushawahi kusikia "breaking knews" ya habari njema
Soma tenaNdio nn HK umeandika
Pasi, jamaa alitabiri vilivyo. Utabiri huwa ni chembechembe zenye uhalisia upelekeao tukio, ni patterns tu mkuu maharage ya ukweni yuko sawa. Ajali imetokeaDuh...!.
Japo Nabii hakubaliki nyumbani!, lakini utabiri ni utabiri tuu, sio lazima uzingatiwe sana lakini usipuuzwe!.
Mfano ajali ya ndege hii iliyotabiriwa hapa, bado haijatokea, ndege ya kwenye utabiri huu ni ndege nyekundu na ingekatika katikati, ndege iliyoanguka ni sio nyekundu na haijakatika popote!.
Rip Marehemu wetu,
Wafiwa poleni!.
P
Nenda kaedit babuSoma tena
Mkuu utabiri wako wa nyuma ni epi na ipiWaambie wale wa DAMU ya YESU mrudi kwenye uzi wangu,Mwamposa mwenyewe hii kitu hajaona na makelele yake ya YESU kila siku
Hizo ni minor error kwanza mi sio mzungu ila nina uhakika 98%umeelewa ukiondoa ubishi wa asiliNenda kaedit babu
Nimeuona ,basi jamaa anakipawa cha ndoto za kweli. Kama mimi sometimes inanitokeaga ila sizingatii nakuja kumbuka baada ya event kutokea kuwa nilipata ishara za hilo tukio.Lakini jamaa alitabiri hadi kifo cha Magufufuli. Alitairi toka mwaka 2016 kwamba Magufuli atafariki awamu ya pili. Bahati mbaya ile thread imefungwa comment lakini ipo.
niwekee link yake mkuuNiliwaambia acheni kumkejeli mshikaji huyu mwamba hakoseagi mkanikejeli na mie; sasa na kuna mwengine anatumia ID ya Tumia Akili hawa wamba wawili ni noma kwenye utabiri tafuteni ID ya tumia akili muone alichoandika mie sisemi kitu
Mkuu Uzi huo umeuona sehemu gani?Nimeiona ,basi jamaa anakipawa cha ndoto za kweli. Kama mimi sometimes inanitokeaga ila sizingatii nakuja kumbuka baada ya event kutokea kuwa nilipata ishara za hilo tukio.
Mwaka 2016 alitabiri Magu hamalizi miaka 10 madarakani....(alimtabiria kifo) Mods wakaondoa uzi..
Nadhani umeonaLogo nyekundu= mbia mwenzake na Precision air sasa hivi ni Kenya Airway✓
kukatika vipande viwili,= suburi inasuliwe kwenye mchanga, watu wa Bugabo wananguvu sana maana wamevuta kokolo kabla hatujapata uhuru wanaweza kuvuta hii ndege hadi ikatike vipande viwili!
Mkuu soma post #820 mdau kaweka kiungwa cha thread aliyotabiri Magufuli kufariki kabla ya kumaliza urais, alitabiri septemba 20161Mkuu Uzi huo umeuona sehemu gani?
Unaweza kuweka kiunganishi hapa ili tuweze kuusoma?
Shukurani MkuuMkuu soma post #820 mdau kaweka kiungwa cha thread aliyotabiri Magufuli kufariki kabla ya kumaliza urais, alitabiri septemba 20161
Mkuu Uzi huo umeuona sehemu gani?
Unaweza kuweka kiunganishi hapa ili tuweze kuusoma?