Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Mliokua mna kejeli na matusi mlikumbuka kusali? Au ni kujionesha mnajua kutukana jf!

Someni na hili andiko sio mnabisha tu. Nyie ndo huwa mnaambiwa leo sali unabisha kumbe ndo siku yako ya mwisho
 

Attachments

  • 8354802C-F788-4D49-A750-3DEB5ADD8F87.jpeg
    8354802C-F788-4D49-A750-3DEB5ADD8F87.jpeg
    102.7 KB · Views: 16
Kwenye ndoto sawa inawezekana, mi Mwanangu wa darasa la tano Kama mwezi hivi umepita,aliota Baba yake ninefariki na wako msibani kwenye mazishi yangu,akaamka asubuhi akamwambia Mama yake,na Mama yake akaniambia,nikasema msijali ni ndoto tu hakuna kitu Kama hicho! Baada siku mbili kupita tu,tukapokea taarifa za msiba wa Mama Mkwe Bibi yake na Mwanangu! Basi tukasema kwa pamoja kua ndiyo ile ndoto ya Mtoto imetimia Sasa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Du watu mnalazimisha mambo! Sasa kuna uhusiano gani kati ya alichoota na kilichotokea?
 
Mliokua mna kejeli na matusi mlikumbuka kusali? Au ni kujionesha mnajua kutukana jf!
Watanzania watu wazima wako zaidi ya milioni 30. Kungekuwa na uwezekano wa kuuliza raia wote vitu vyote walivyoota usiku, kwa muda wa wiki moja, ni lazima wako walioota ndege kuanguka.
 
Watanzania watu wazima wako zaidi ya milioni 30. Kungekuwa na uwezekano wa kuuliza raia wote vitu vyote walivyoota usiku, kwa muda wa wiki moja, ni lazima wako walioota ndege kuanguka.
Sasa kama unakiri watu wana uwezo wa kuota kwanini uone huyu analeta chai? Hao wengine hawana pa kusemea au walisema wakakutana na watu kama nyinyi wakaamua wakae na utabiri wao kimya.

Kama wewe huna karama ya maono usilazimishe wengine wazike za kwao.
 
Dada wala sihitaji credit kutoka kwa mtu yeyote lakini jua kwamba nina kipawa na nina uwezo wa kupata maono katika jambo lolote,hivi hujiulizi kwanini sijasema ajali ya gari?au unadhani ajari za gari huwa sizionagi?
Mkuu nicheck basi mm na huyu bwana angu kama tutatoboa ndoa au tunachezeana 🤣🤣🤣


Cc Lenie
 
Dada wala sihitaji credit kutoka kwa mtu yeyote lakini jua kwamba nina kipawa na nina uwezo wa kupata maono katika jambo lolote,hivi hujiulizi kwanini sijasema ajali ya gari?au unadhani ajari za gari huwa sizionagi?
Hahahaha!! nitakuja PM tuyajenge maana na mimi nina hicho kipawa nashindwa kukiongoza.
 
Mkuu basi tabiri kuhusu senene kunaswa na umeme kule buseresere
 
Back
Top Bottom