Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du watu mnalazimisha mambo! Sasa kuna uhusiano gani kati ya alichoota na kilichotokea?Kwenye ndoto sawa inawezekana, mi Mwanangu wa darasa la tano Kama mwezi hivi umepita,aliota Baba yake ninefariki na wako msibani kwenye mazishi yangu,akaamka asubuhi akamwambia Mama yake,na Mama yake akaniambia,nikasema msijali ni ndoto tu hakuna kitu Kama hicho! Baada siku mbili kupita tu,tukapokea taarifa za msiba wa Mama Mkwe Bibi yake na Mwanangu! Basi tukasema kwa pamoja kua ndiyo ile ndoto ya Mtoto imetimia Sasa!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Watanzania watu wazima wako zaidi ya milioni 30. Kungekuwa na uwezekano wa kuuliza raia wote vitu vyote walivyoota usiku, kwa muda wa wiki moja, ni lazima wako walioota ndege kuanguka.Mliokua mna kejeli na matusi mlikumbuka kusali? Au ni kujionesha mnajua kutukana jf!
[emoji38][emoji38][emoji38]Hakuna kitu kama hicho
Sasa kama unakiri watu wana uwezo wa kuota kwanini uone huyu analeta chai? Hao wengine hawana pa kusemea au walisema wakakutana na watu kama nyinyi wakaamua wakae na utabiri wao kimya.Watanzania watu wazima wako zaidi ya milioni 30. Kungekuwa na uwezekano wa kuuliza raia wote vitu vyote walivyoota usiku, kwa muda wa wiki moja, ni lazima wako walioota ndege kuanguka.
Hapana zipo nyingi tu, kuna moja alitabiri kudondoka ndege na kuua watu na kweli hiyo ajali ikatokea arusha ikaua rubaniNyuzi zipi? Ule aliosema ''gaidi'' atafungwa kumbe ndiyo anaachiwa?
Tunaweza kusema alikuwa na taarifa za ndani za ugonjwa wake na hali aliyokuwa nayo wakati huo.Kumbuka alitabiri kifo cha magu, vipi tunaweza kusema alikuwa kwenye plan hiyo
Mkuu nicheck basi mm na huyu bwana angu kama tutatoboa ndoa au tunachezeana 🤣🤣🤣Dada wala sihitaji credit kutoka kwa mtu yeyote lakini jua kwamba nina kipawa na nina uwezo wa kupata maono katika jambo lolote,hivi hujiulizi kwanini sijasema ajali ya gari?au unadhani ajari za gari huwa sizionagi?
🤣🤣🤣 unajua wewe akili zako zinakutosha mwenyewe
Niache banaaa🤣🤣🤣 unajua wewe akili zako zinakutosha mwenyewe
😂😂😂Niache banaaa
Namcheck mtabiri anitabirie
Upo tiari kwa utabiri?Niache banaaa
Namcheck mtabiri anitabirie
Ndiyo mtabiri, tawileeeUpo tiari kwa utabiri?
Mh,Tunaikemea kwa jina la Yesu hiyo roho ya mauti.
Hahahaha!! nitakuja PM tuyajenge maana na mimi nina hicho kipawa nashindwa kukiongoza.Dada wala sihitaji credit kutoka kwa mtu yeyote lakini jua kwamba nina kipawa na nina uwezo wa kupata maono katika jambo lolote,hivi hujiulizi kwanini sijasema ajali ya gari?au unadhani ajari za gari huwa sizionagi?