Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Haiwezi kua planned scene..

Hasa hasa kwa nchi yetu.. hayo ni maono..

Embu fikiria, tz tunaeza panga kuangusha ndege tena tupange ikatike katikati [emoji3][emoji3].. hatujawai kua serious ivo.

Kuna watu hua wanaota na matukio yanatokea (maono), wengine hua hawasemi tu.
Issue ya utabiri ya huyu maharage ya ukweni ni sahihi, hii hatupingi. Lakini ajali yenyewe nahisi ilipangwa kutokea under Freemason Decision, na ikapangwa aandaliwe kijana mmoja kwa ajili ya kula shavu hili. Huenda Majariwa alijiunga na chama la wana wakamwambia atapata pesa kupitia ajali hiyo
 
Mkuu wewe ulijuaje kama ajali ya ndege itatokea???? [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Majini hayo huwa yanakutembeza wala si Mungu. Mungu anapokuonyesha jambo hukupa na njia aidha kuzuia, kuonya au kuponya ili watu watubu na kumrudia Mungu lkn ukisema tu ajali itatokea bila way forward hayo ni mapepo ya utambuzi tu.
Mfano kama huyu jamaa unadhan hata angetoa solution nani angemsikiliza hakuna anayemjua? Kumbuka yusuphu gerezani alipewa credit na moja ya watumishi wa mfalme kwamba kuna mtu ni mtafsiri ndizo😂😂 by the way angekuwa mtu famous watu wengi wangekuwa washamjua
 
Mimi naamini yeye ni mtu anayeamini katika ndoto... so kuna uwezekano aliona ndotoni... Na mara nyingi akiota basi huwa kweli... Hii hata kwangu iliwahi tokea kwenye janga moja kubwa hapa Tanzania... Asubuhi naamka nakutana na taarifa mbaya za kitaifa...

Jamani msidhihaki watu kwa kila uzi.. kuna mtu mm namfahamu huwa asilimia 80 ya ndoto zake anazoota hutimia kweli. Hata kwenye familia nzima akiota jambo kama ni baya basi lzm watu waingie kwenye Naomb I
 
Siku chache zijazo Kuna rais wa kiafrika ataachia ngazi.
Hiyo nchi Ina herufi mojawapo wa hizi
A. G. N. D
 
Back
Top Bottom