Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi si aina ya watu wa kuchunguza, ni aina ya watu watu wavivu kufikiri na kumuachia Mungu, ndomaana wajanja wachache huongoza mamilioni ya wazembeduh kwanini tena?
Jamani uliwezaje kuoneshwa hii ajali? Sikuona huu uzi ningeombaga hata hicho kidogo ninachoomba basi hii ajali Mungu azuie, kwenye sala na mimi ningeombaSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Nimeogopa uzi wake ni wa trh 25/10/ 2022Wale waliombeza maharage ya ukweni warudi hapa waone
Ripoti imetoka jana, ila hiyo ndege ya Indonesia ilipata ajali tangu Januari 2021Jamaa ndege alioiota ndio hiiiView attachment 2413170
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Wewe ni chizi ubisha kijinga kijinga*Ndege yenye rangi nyekundu
* ndege ikatakika katikati
*vifo na majeruhi narudia kusema wewe na mleta mada ni wapumbavu na mmeshindwa kwa jina la YESU
Hapo sawaJamaa ndege alioiota ndio hiiiView attachment 2413170
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Mkuu shusha nondo, acha kuzificha.Aiseeee Sasa nimeelewa
Hiyo ni ya 2021
Mambo yakishatokea ulimwengu wa Roho ni lazima yaje kijiziirisha kwenye ulimwengu wa mwili.Huyu jamaa sio bure aisee.
Kuna movie moja ya final destination kuna mtu anajua yatakayotokea then anajitahidi kuepusha mambo hayo lakini haikusaidia.
Je maharage ya mbeya utabiri wako endapo tutaufanyia kazi utasqidia kuepusha mabalaa au ni lazima yatokee kwa kuwa umeshayaota
Haiwezi kua planned scene..Mazingira ya utabiri na Majaliwa ni kama a planned incidence
Kuhusu nini?Mkuu tunaomba maoni yako