Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Salaam Aleykum

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.

1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.

Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Jamani uliwezaje kuoneshwa hii ajali? Sikuona huu uzi ningeombaga hata hicho kidogo ninachoomba basi hii ajali Mungu azuie, kwenye sala na mimi ningeomba
 
Jamaa ndege alioiota ndio hiii
Screenshot_20221111-112939.jpg


Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
*Ndege yenye rangi nyekundu
* ndege ikatakika katikati
*vifo na majeruhi narudia kusema wewe na mleta mada ni wapumbavu na mmeshindwa kwa jina la YESU
Wewe ni chizi ubisha kijinga kijinga
 
Huyu jamaa sio bure aisee.

Kuna movie moja ya final destination kuna mtu anajua yatakayotokea then anajitahidi kuepusha mambo hayo lakini haikusaidia.

Je maharage ya mbeya utabiri wako endapo tutaufanyia kazi utasqidia kuepusha mabalaa au ni lazima yatokee kwa kuwa umeshayaota
 
Huyu jamaa sio bure aisee.

Kuna movie moja ya final destination kuna mtu anajua yatakayotokea then anajitahidi kuepusha mambo hayo lakini haikusaidia.

Je maharage ya mbeya utabiri wako endapo tutaufanyia kazi utasqidia kuepusha mabalaa au ni lazima yatokee kwa kuwa umeshayaota
Mambo yakishatokea ulimwengu wa Roho ni lazima yaje kijiziirisha kwenye ulimwengu wa mwili.

Kujiandaaa na majanga kuna weza kupunguza madhara. Mfano tungejua exactly kua itakua kagera na baharini boti zingewekwa karibu kwaajili ya kuokoa manusura wa ajali

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Mazingira ya utabiri na Majaliwa ni kama a planned incidence
Haiwezi kua planned scene..

Hasa hasa kwa nchi yetu.. hayo ni maono..

Embu fikiria, tz tunaeza panga kuangusha ndege tena tupange ikatike katikati [emoji3][emoji3].. hatujawai kua serious ivo.

Kuna watu hua wanaota na matukio yanatokea (maono), wengine hua hawasemi tu.
 
Back
Top Bottom