Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria



Naona ndege ni kweli imekatika vipande viwili, ila sasa hiyo Logo nyekundu ipo wapi?
 
Umewaza vema, ila sasa jiulize mtu ana mention mpaka matukio mfano uokoaji wa mtoto, ndege kukatika katikatin.k

Angeishia kusema ajali possible wazo lako lingekuwa sahihi.

Pitia thread zake kipind kilichopita kuna kitu unaweza kujifunza.

Si vema kukaza akili sana.
Upo uwezekana aliyajua mazingira ya uendeshaji na hatari iliyopo ama Hata alishakuwa na nafasi ya kuwatahadharisha waendeshaji/wamiliki
 
Upo uwezekana aliyajua mazingira ya uendeshaji na hatari iliyopo ama Hata alishakuwa na nafasi ya kuwatahadharisha waendeshaji/wamiliki
Ni kweli alikua na hizo nafasi, lakini je wangemuelewa!???

Kumbuka kipindi cha Nuhu,aliwaambia kabisa, jamani mvua inakuja tujenge safina, wakamuona mzinguaji tu.

Ifike mahali tuamini watu waliopewa karama , Rais wa Kongo kama sijakosea, alitabiriwa,mtabir aliwekwa lupango.

Kabla Magu hajafa wachungaj waliona na walisisitiza na hata huyu jamaa ametabir sana kifo cha Magu lkn fuatilia comment zetu sasa.
 
Kuota na kutabiri ni vitu viwil tofaut useless kabisa arguments yako.
Mtu kaota ana kosa gani kuhadithia alichoota? Wewe huwa huoti? Au choyo kuona alichoota mwenzako kimetokea?
Wewe soma kichw ch habari kinasemaje au unataka tu ubishi usio wa faida. Kasema anatabiri kutatokea ajali ya ndege au hujasoma kichwa Cha habari
 
Kuota na kutabiri ni vitu viwil tofaut useless kabisa arguments yako.
Mtu kaota ana kosa gani kuhadithia alichoota? Wewe huwa huoti? Au choyo kuona alichoota mwenzako kimetokea?
Wewe soma kichw ch habari kinasemaje au unataka tu ubishi usio wa faida. Kasema anatabiri kutatokea ajali ya ndege au hujasoma kichwa Cha habari
 
Back
Top Bottom