Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Issue ya utabiri ya huyu maharage ya ukweni ni sahihi, hii hatupingi. Lakini ajali yenyewe nahisi ilipangwa kutokea under Freemason Decision, na ikapangwa aandaliwe kijana mmoja kwa ajili ya kula shavu hili. Huenda Majariwa alijiunga na chama la wana wakamwambia atapata pesa kupitia ajali hiyoHaiwezi kua planned scene..
Hasa hasa kwa nchi yetu.. hayo ni maono..
Embu fikiria, tz tunaeza panga kuangusha ndege tena tupange ikatike katikati [emoji3][emoji3].. hatujawai kua serious ivo.
Kuna watu hua wanaota na matukio yanatokea (maono), wengine hua hawasemi tu.
Huna akili, na naiman we ni shabiki wa SimbaIssue ya utabiri ya huyu maharage ya ukweni ni sahihi, hii hatupingi. Lakini ajali yenyewe nahisi ilipangwa kutokea under Freemason Decision, na ikapangwa aandaliwe kijana mmoja kwa ajili ya kula shavu hili. Huenda Majariwa alijiunga na chama la wana wakamwambia atapata pesa kupitia ajali hiyo
😂😂😂😂😂😂😂In Jesus name[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mfano kama huyu jamaa unadhan hata angetoa solution nani angemsikiliza hakuna anayemjua? Kumbuka yusuphu gerezani alipewa credit na moja ya watumishi wa mfalme kwamba kuna mtu ni mtafsiri ndizo😂😂 by the way angekuwa mtu famous watu wengi wangekuwa washamjuaMajini hayo huwa yanakutembeza wala si Mungu. Mungu anapokuonyesha jambo hukupa na njia aidha kuzuia, kuonya au kuponya ili watu watubu na kumrudia Mungu lkn ukisema tu ajali itatokea bila way forward hayo ni mapepo ya utambuzi tu.
Akikujubu nipo pale nitag😂😂Kwa akili ya kawaida, ww ungemuamini kama angekupa tahadhari?
Ndio mkuu, mimi sili mihogo [emoji20]Huna akili, na naiman we ni shabiki wa Simba
Kamali ni kama uchawi tuKamari haiwezekani.
Mimi naamini yeye ni mtu anayeamini katika ndoto... so kuna uwezekano aliona ndotoni... Na mara nyingi akiota basi huwa kweli... Hii hata kwangu iliwahi tokea kwenye janga moja kubwa hapa Tanzania... Asubuhi naamka nakutana na taarifa mbaya za kitaifa...
Mh bora ningenyamazaAisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umepata funzoMh bora ningenyamaza
Nimejifunza kunyamaza zaidi kuliko kupinga kila kitu, tena kwa maandishi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umepata funzo
[emoji28][emoji28][emoji28]Nimejifunza kunyamaza zaidi kuliko kupinga kila kitu, tena kwa maandishi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16]Takataka. Hakuna cha ajali hapa.
Tumia Akili kama sijakoea sana.Ni mwanachama gani vile alisema ifikapo 2022 tutakuwa na Rais mwanamke?
Tumia akiliNi mwanachama gani vile alisema ifikapo 2022 tutakuwa na Rais mwanamke?
Nahisi ni MusevenSiku chache zijazo Kuna rais wa kiafrika ataachia ngazi.
Hiyo nchi Ina herufi mojawapo wa hizi
A. G. N. D