Yusufu R H Sabura
JF-Expert Member
- Jun 26, 2020
- 355
- 486
mkuu ulisahau kufunika anga na damu ya yesu auWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ulisahau kufunika anga na damu ya yesu auWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Ipo BOLDED Kabisa!Leo unatamani kuifuta hii comment
Kinachofanya Utabiri kuwa halisi ni details. Kama si hivyo ni kuotea tu mtu ambaye ameona kuna ndege mbovu hazifanyiwi service n.k. kwa speed ya mabasi kwenda Mkoa flani mi nlishatabiri sana na ikawa kweli. Nilikuwa naona tu hamkani si shwari.
Hakuna maombi ya maana hapa na unatumia jina la Yesu vibaya. Unaonekana hata Yesu mwenyewe humjui. Umeandika kwa namna ambayo unaonekana kabisa ulipandwa na shetani zaidiWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
kujifanya mjuaji sana haikufanyi uonekane mwanaume ,wakati mwingine ni bora kukaa kimya kwani siyo lazima uchangie kila kitu.Nikwambie tu kwenye masuala ya ndoto sio lazima iwe kama ulivyoota mfano masuala ya rangi,sijui kukatika vipande haukuwa ujumbe uliokusudiwa,kwenye ndoto hii ujumbe uliokusudiwa ni ajali ya ndege.Usitumie kichwa kama mfuko wa meno pekee. Ni kipi hapa kilichotimia?
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Hakuna maombi ya maana hapa na unatumia jina la Yesu vibaya. Unaonekana hata Yesu mwenyewe humjui. Umeandika kwa namna ambayo unaonekana kabisa ulipandwa na shetani zaidiWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Upuuzi wa kiwango cha lamikujifanya mjuaji sana haikufanyi uonekane mwanaume ,wakati mwingine ni bora kukaa kimya kwani siyo lazima uchangie kila kitu.Nikwambie tu kwenye masuala ya ndoto sio lazima iwe kama ulivyoota mfano masuala ya rangi,sijui kukatika vipande haukuwa ujumbe uliokusudiwa,kwenye ndoto hii ujumbe uliokusudiwa ni ajali ya ndege.
sometime you need to think beyond rather than criticising.
Weka linkJamaa alitabiri kuona watu wengi mto ruvu na akaona kuna shida itaanzia pale na shida itakua kubwa lakini akasema mwenyewe haelewi itakua nini akasema tuombe sana hiyo ilikua mwezi wa nne bado tumpinge leo wakati kweli Mto Ruvu unaleta shida zake
Hakuna atakaebaki mzee, sote ni maiti watarajiwa.Jamaa hapo chini alsema Utakufa mkuu 😢🤦♂️
Ila imetimiaKinachofanya Utabiri kuwa halisi ni details. Kama si hivyo ni kuotea tu mtu ambaye ameona kuna ndege mbovu hazifanyiwi service n.k. kwa speed ya mabasi kwenda Mkoa flani mi nlishatabiri sana na ikawa kweli. Nilikuwa naona tu hamkani si shwari.
Yusuf ('Alayhis Salaam) alikuwa ni Nabii Wa Allah. Hakuwa kuhani/ mtabiri/mpiga ramli/soothsayer.Mbona tunaambiwa kwa vitabu Yusuf alipata ndoto za mambo yatakayotokea mbele na ikatokea. Wengine wanapewa uwezo tu wa kuota mambo na yakatokea. Tuache ujuaji wa dini tulizoletewa na 'mabwana' zetu wa Mashariki ya mbali. Sijaona kosa lake.
shangaa na wewe,mtumishi alitumia mihemkoHakuna maombi ya maana hapa na unatumia jina la Yesu vibaya. Unaonekana hata Yesu mwenyewe humjui. Umeandika kwa namna ambayo unaonekana kabisa ulipandwa na shetani zaidi
Hakuna kilichotimia.
Unaona wivu kuwa alichotabiri kimetokea? Tabiri na wewe?Hakuna kilichotimia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha dharau..sikiliza Bukoba huko
Japo sio kama alivyotabiri ila kiasi flani kama inakuja then inakataaaHakuna kilichotimia.
[emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka hapa mkuu atajipatia watu wengi PM. Fursa hii mleta mada. Piga hela. Na waliokutukana wachaj hela kubwa.