Nakwenda Kolomije
Member
- Sep 15, 2018
- 92
- 122
Ni nini kinachokuumiza? Au ni upumbavu tu ulionao hadi kupelekea kuumia kwa utabiri wa mwenzako?Utabiri wako umechemsha
Kaota sijui katabiri marangi mekundu kama bendera za wachawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nini kinachokuumiza? Au ni upumbavu tu ulionao hadi kupelekea kuumia kwa utabiri wa mwenzako?Utabiri wako umechemsha
Kaota sijui katabiri marangi mekundu kama bendera za wachawi
Au sioMkuu umeota au!!? Ukiwa umelala usiku usipende kuacha redio inaongea maana unaweza kuta walikua wanatoa dondoo za vita huko ukrain ukavijumlisha kwenye ndoto ukaja kusema ni utabiriView attachment 2397537
Karibu sana aisee.... ndoa ni jambo la kheri sana kwenye familiaNatabiri jioni ya leo utapata dinner home.
Utabiri usipotimia nakuja kutoa posa kwa sista ako🤣
Oya Kibatala kwahiyo kesho tumpeleke Kisutu auTukio kama hilo likitokea kweli jiandae kujibu mashtaka na utaozea jera tofauti na hvo watafute shirika husika uwaambie wasitishe safari siku hiyo
Ndio. Upumbavu unanisumbua, naomba msaada wako pleaseNi nini kinachokuumiza? Au ni upumbavu tu ulionao hadi kupelekea kuumia kwa utabiri wa mwenzako?
Jamaa ni hatari sana.Kwenye rangi kuna wajuvi wake. Inatosha kabisa bluu bahari mtu wa kawaida kukuambia ni nyeusi. Hoja kubwa hapa ni kutokea kwa ajali ya ndege. Mengine ni upinzani usio na maana. Tumpe heshima yake kwa kujaliwa kipawa ambacho ni nadra kwa mamilioni yetu
Maelezo yake hayaoani, kabahatisha au kahusika kuikorofisha hiyo ndege, hamna lolote hapaHuyu mwamba hatimaye utabiri wake umetimia...
Hakika duniani manabii na walio na maono wapo.
Leo unatamani kuifuta hii commentWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Hapo issue ni ajali ya ndege.Kwakuwa imetokea basi jamaa apewe sifa yake stahiki.Ila rangi nyekundu alisema mleta mada
enhee ameikorofisha vp...... 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️Maelezo yake hayaoani, kabahatisha au kahusika kuikorofisha hiyo ndege, hamna lolote hapa
Ma don hatuongei sanaKwa nini mtoto halali na hela hupendi kuongea sana
[emoji16][emoji16][emoji16]
Mtakua na kikao naye jioni naonaHapo issue ni ajali ya ndege.Kwakuwa imetokea basi jamaa apewe sifa yake stahiki.
🤣amenKaribu sana aisee.... ndoa ni jambo la kheri sana kwenye familia
Rubani anatupuwa majini tu anaangusha ndegeJini linaweza kuangusha ndege?
Atutabirie basi kama Yanga SC yangu,( yetu ) itapindua Meza kwa Watunisia Jijini Tunis tarehe 9 Novemba, 2022 ( Jumatano ) ijayo.Uko vizuri kiutabiri
Unakula maneno yako sasa hivi eti? 😛 😛 😛 😛 😛Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen