Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Soma bandiko lake tenaMashavu yamekushuka!
Ujuaji mwingi mbele giza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma bandiko lake tenaMashavu yamekushuka!
Ujuaji mwingi mbele giza.
Nikola tesla sijakuelewa mzee...Kasema unakua kesho [emoji16]
Ishu sio utofauti wa details za maono ishi ni maono yenyeweMbona ni tofauti na utabiri?
Utabiri wako umechemshaSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Kaota sijui katabiri marangi mekundu kama bendera za wachawiKwani alitabiri au aliota??
Jamaa hapo chini alsema Utakufa mkuu 😢🤦♂️Nikola tesla sijakuelewa mzee...
Nchi hii wakifa 20 kwenye majanga utaambiwa wamekufa wa 5.nimepata taarifa kwamba 49 wote wameokolewa[emoji419]
Kwa nini mtoto halali na hela hupendi kuongea sanaSoma bandiko lake tena
Ndy ilivyo sijui wanaficha kwa faida ya nani?Nchi hii wakifa 20 kwenye majanga utaambiwa wamekufa wa 5.
Natabiri jioni ya leo utapata dinner home.Utabiri wako umechemsha
Kaota sijui katabiri marangi mekundu kama bendera za wachawi
HatimayeMsimdhihaki Huyu mshikaji hebu tafuteni nyuzi zake na comment alizowahi kuandika hakoseagi.
Hii kitu ata mimi nimeona inaendeshwa ki local sanaKinacho niumiza zaidi ni kuona jinsi tunavo okoa ndugu zetu ki local wakati kila kukicha tuna nunuaV8
Sent from my ZTE BLADE A512 using JamiiForums mobile app
ndoto yake haijatimia.Whaoohhhh and it really happened [emoji24][emoji24][emoji24] tuambie ni nini uliona ehh