Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

85% tambua ndoto ambayo mtu anatumia kama utabiri anakuwa na wenge ila ni mule mule tambua jamaa yuko really kabisa ... inawezekana kama kama tukio lipo kweli ila kama ingekuwa ndege iyo nyekundu exactly basi yangetokea hayo yote ila ndoto ni mule mule ..

Usidharau mambo ni ya kweli.
Mule mule wapi kuna vifo na
Majeruhi?
Hata hivyo kukemea kwa jina la YESU ni silaha tosha
Sina muda wa kukujibu tena bakia na amani ya bwana
 
Mule mule wapi kuna vifo na
Majeruhi?
Hata hivyo kukemea kwa jina la YESU ni silaha tosha
Sina muda wa kukujibu tena bakia na amani ya bwana
Unabisha mzee 😂😂😂mbona japo lipo wazi tambua Kuna elimu ya ndoto hata na nyote ..Tuko tofauti ni vizuri kweny elimu za hapa za mzungu na kiasili coz ,jamaa ana upeo wa kuota na kuwa kweli ila anatakiwa ajue kutafsiri ndoto ...yupo mtu alitabiri kiama kumbe ndo kifo chake ...yupo mtu alishawai kusema siku fulani mama atakufa ameota ila akaja kufa baba ake siku ile ile ...unachotakiwa kujua ni point hapo patakuwa tokea ajali ya abiria kuwa attention 😂😂😂

Jamaa anajua usibishe.
 
Back
Top Bottom