Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Mleta uzi ni jini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mule mule wapi kuna vifo na85% tambua ndoto ambayo mtu anatumia kama utabiri anakuwa na wenge ila ni mule mule tambua jamaa yuko really kabisa ... inawezekana kama kama tukio lipo kweli ila kama ingekuwa ndege iyo nyekundu exactly basi yangetokea hayo yote ila ndoto ni mule mule ..
Usidharau mambo ni ya kweli.
Vp unajisikiaje?Sheikh Yahya bado upo duniani?
OhoooWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Wajuaji huwa mnashangaza sana.Amka wewe
Utajikojolea…
Unabisha mzee 😂😂😂mbona japo lipo wazi tambua Kuna elimu ya ndoto hata na nyote ..Tuko tofauti ni vizuri kweny elimu za hapa za mzungu na kiasili coz ,jamaa ana upeo wa kuota na kuwa kweli ila anatakiwa ajue kutafsiri ndoto ...yupo mtu alitabiri kiama kumbe ndo kifo chake ...yupo mtu alishawai kusema siku fulani mama atakufa ameota ila akaja kufa baba ake siku ile ile ...unachotakiwa kujua ni point hapo patakuwa tokea ajali ya abiria kuwa attention 😂😂😂Mule mule wapi kuna vifo na
Majeruhi?
Hata hivyo kukemea kwa jina la YESU ni silaha tosha
Sina muda wa kukujibu tena bakia na amani ya bwana
Safi tu vipi wewe unaendeleaje na hali huko ulipo.?Vp unajisikiaje?
Wajuaji huwa hamuishi duniani!
Ngoja tusubiri official news, hizo niza kuokotaokota kwenye social mediaUmesikia wapi mkuu au Kuna chombo kinarusha breaking news hyi
Una ujuaji mwingi mbele giza.Africa kumejaa pimbi sana, wenzako wako bise kujaribu kwenda kuishi anga za juu nyie mko bise na tabiri za kupimbi
Wajuaji mnaaibika kila kukicha.Takataka. Hakuna cha ajali hapa.
Mashavu yamekushuka!Manabii wa Uongo, huyo ni Agent wa shetani
Na wewe ukiwa mmojawapo. Upumzike kwa amani mkuu. Ahsante kwa taarifa.Kuna gari linapata ajali kesho
Natumai utakuwa mmoja wa watu walioangamia kwenye ndege.@maharage ya ukweni vijana wana stress sana za maisha mpaka wamekuwa wapiga ramli, kijana unakuwa mshirikina alafu tena unaanza na Asalam aleikum
Acha upumbavu we mganga pori
Hata siku ya mwisho ikifika watabisha.Jamii Forums wajuaji wengi sana na ubishi