maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Nadhani umejiona ulivyopimbiAfrica kumejaa pimbi sana, wenzako wako bise kujaribu kwenda kuishi anga za juu nyie mko bise na tabiri za kupimbi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani umejiona ulivyopimbiAfrica kumejaa pimbi sana, wenzako wako bise kujaribu kwenda kuishi anga za juu nyie mko bise na tabiri za kupimbi
Walimu walikufanya nn Countrywide jamani🤣🤣Leo kila Mwalimu humu atajifanya ni mchambuzi wa masuala ya anga
Kuna gari linapata ajali keshoDuuh aisee imebidi nirudi kwa uzi.
Ajali imetokea kweli. Is this a coincidence. Wazee wa ulimwengu wa roho mtuelezee.
Kwa leo basi tumeepusha shari.Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
*Ndege yenye rangi nyekunduUlikua na haja gani kumtukana....nadhani umejifunza siku nyingine hutakua mpumbav
Hiyo salam sio ya kiislam,ipo kwenye kamusi ya kiswahili sanifu labda useme inatumiwa sana na waislam tu au kwakua asili yake ni uarabuni.Halafu ili kuutukanisha UISLAM unaanza na kutoa salam ya kiislam ili watu wajue mtoa mada kuwa ni muislam, na hayo ndio yanayo waaminisha watu kuwa waislam ni wapiga ramli,
Katika mafundisho ya kiislam hakuna mtu mwenye elimu ya jambo linalotarajiwa kutokea, huo ni USHIRIKINA, na nikinyume kabisa na uislam, km mnakuwa na mada zenu za kishirikina acheni kujinasibisha na uislam toeni tu salam zenu za kawaida, endeleeni na mambo yenu, inafahamika hili ni jukwa huru, ila msitutukanishie dini yetu.
Jamaa yuko vizuri tuache ubishi..wengi wetu hapa hatuwezi kufanya hata robo ya alichokifanya..Watu bado wanakomaa eti utabiri umetokea nusu! Alicho tabiri kimesha tokea sio mpaka kitokee sawa kabisa na alivyo ona ishu iliyopo ss ndio tumeona alicho tabiri bhasi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndge ya rangi nyekunduJambo limetimia kwa kiasi kikubwa ..Muwe mnaheshimu mawazo ya watu
Msimdhihaki Huyu mshikaji hebu tafuteni nyuzi zake na comment alizowahi kuandika hakoseagi.
Soma hapo mithali imetaja sana neno mpumbavu kalagabahoWatu wa Mungu hawatukani. Ona sasa huna imani na ajali imetokea kweli.
Kafa mtu mmoja, na majeruhi.Ndge ya rangi nyekundu
Iatakatika katikati
Majeruhi na vifo
Taarifa kamili inasema hakuna vifo wala majeruhi
Na wewe ni mpumbavu kama mleta mada?
Unajua maana ya utabiri? Unaelewa aliposema tuombe yasitokee? Mbona unadhihirisha upumbavu wako?Ndge ya rangi nyekundu
Iatakatika katikati
Majeruhi na vifo
Taarifa kamili inasema hakuna vifo wala majeruhi
Na wewe ni mpumbavu kama mleta mada?
Jamaa ni bogus to the extentUnajua maana ya utabiri? Unaelewa aliposema tuombe yasitokee? Mbona unadhihirisha upumbavu wako?
Hakutukawa mbona neno mpumbavu kwenye biblia hasa mithali limetajwa sana wew ni mpagani?Hukuwa na haja ya kumtukana jamaa kipindi hicho October maana hakuchukua hata mia yako kutabiri haya..[emoji3][emoji3]
Hukuona kama niliomba? Na nikaomba damu ya Yesu intarvene?Unajua maana ya utabiri? Unaelewa aliposema tuombe yasitokee? Mbona unadhihirisha upumbavu wako?
Nilifanikiwa kwa asilimia kubwaKwamb ulishindwa kuivunja roho ya mtoa mada?
85% tambua ndoto ambayo mtu anatumia kama utabiri anakuwa na wenge ila ni mule mule tambua jamaa yuko really kabisa ... inawezekana kama kama tukio lipo kweli ila kama ingekuwa ndege iyo nyekundu exactly basi yangetokea hayo yote ila ndoto ni mule mule ..Ndge ya rangi nyekundu
Iatakatika katikati
Majeruhi na vifo
Taarifa kamili inasema hakuna vifo wala majeruhi
Na wewe ni mpumbavu kama mleta mada?
Wewe na yeye wote wapumbavuMpumbavu ni nani kati ya wewe au yeye