Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Inawezekana ajali iliyotokea Arusha leo ndio niliyoiota
Asalaam Aleykum! Kwanza kabisa napenda kuwapa pole ndugu waliopoteza mpendwa wao katika ajari ya ndege iliyotokea Arusha leo.Pia napenda kusema kwamba sifurahiswi pale ninaposikia watu wamepoteza maisha katika ajali kwani binadamu tunategemeana katika maisha yetu ya kila siku. Siku kazaa...
Huyu Jamaa habahatishi..