Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Watu bado wanakomaa eti utabiri umetokea nusu! Alicho tabiri kimesha tokea sio mpaka kitokee sawa kabisa na alivyo ona ishu iliyopo ss ndio tumeona alicho tabiri bhasi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitak kujua Binaadam ana wivu na roho mbaya we angalia wanaopinga huu utabiri.

Roho za Wivu na kichawi.

Utabiri si lazima utimie wote. Ishu ni dhima kuu ambayo ni AJALI na tyr ishatokea
 
Salaam Aleykum

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.

1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.

Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Ni kweli imetokea leo hiyo ajali ziwa victoria ndege ya precision air imeanguka ziwani
 
Ukitak kujua Binaadam ana wivu na roho mbaya we angalia wanaopinga huu utabiri.

Roho za Wivu na kichawi.

Utabiri si lazima utimie wote. Ishu ni dhima kuu ambayo ni AJALI na tyr ishatokea
Kweli! Ishu hapa sio alicho ona mtabiri, ishu ni ss tuliyo yashudia baada ya utabiri, kua ilikua inapaa au ilikua inatua, ilikua nyeusi au nyeupe havihusiani anahitaji credits zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom