mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Hataree hebu tuanze kumfuatilia kwa makini tunaweza jifunza kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mganga ?Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Mimi naamini yeye ni mtu anayeamini katika ndoto... so kuna uwezekano aliona ndotoni... Na mara nyingi akiota basi huwa kweli... Hii hata kwangu iliwahi tokea kwenye janga moja kubwa hapa Tanzania... Asubuhi naamka nakutana na taarifa mbaya za kitaifa...Hataree hebu tuanze kumfuatilia kwa makini tunaweza jifunza kitu
Unasemaje Sasa? Precision kimeumana BukobaHakuna kitu kama hicho
Kwa kweliWewe ni mganga ?
Precision air ila mbili na tatu umeongopaSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Mpumbavu ni nani kati ya wewe au yeyeWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Kwa hiyo moja kapatia? Ni kweli kwamba Precision Air ina rangi nyekundu na siyo njano?Precision air ila mbili na tatu umeongopa
Rudi uoneKatika Jina la Yesu aliye hai ajali na ibakie kichwani mwako tu.
Na alisema ndege ina mistari gani kweli[emoji101][emoji101][emoji101]Dah alitukanwa aliyesema haya
Njoo uoneTukio kama hilo likitokea kweli jiandae kujibu mashtaka na utaozea jera tofauti na hvo watafute shirika husika uwaambie wasitishe safari siku hiyo
Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee