Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee...Duh aiseee
Ndege haina alama nyekunduMMzeee yametokea kweli
ndio huyo huyoView attachment 2397464wewe ndo huyu pichani?
Tulitimiza wajibu wetu kuomba na kusali kuepusha ajali. Ila ndio hivyo tenaRudi uone
Mmefukua uzi wa jamaa fastaAisee
Kwenye rangi kuna wajuvi wake. Inatosha kabisa bluu bahari mtu wa kawaida kukuambia ni nyeusi. Hoja kubwa hapa ni kutokea kwa ajali ya ndege. Mengine ni upinzani usio na maana. Tumpe heshima yake kwa kujaliwa kipawa ambacho ni nadra kwa mamilioni yetuLakini alisema ndege itakua na lebo ya rangi nyekundu
KabisaMsimdhihaki Huyu mshikaji hebu tafuteni nyuzi zake na comment alizowahi kuandika hakoseagi.
Huenda alikosa right interpretation, kama unaona maono na nafsi haijatulia au haina hali ya usafi ( purity ) matokeo yake ndio hayo. Nafsi ikiwa haipo sawa ngumu kupata taarifa kwa usahihi zinakuwa kama parable1. Logo nyekundu ❌
2. Itakatika vipande viwili ❌
Wacha tuendelee kusubiri
KabisaKwenye rangi kuna wajuvi wake. Inatosha kabisa bluu bahari mtu wa kawaida kukuambia ni nyeusi. Hoja kubwa hapa ni kutokea kwa ajali ya ndege. Mengine ni upinzani usio na maana. Tumpe heshima yake kwa kujaliwa kipawa ambacho ni nadra kwa mamilioni yetu
Muwe mnatulia sio mnabisha kila kituHakuna kitu kama hicho
Ila rangi nyekundu alisema mleta madaUnasemaje Sasa? Precision kimeumana Bukoba
Unge quote siku ile ileMuwe mnatulia sio mnabisha kila kitu
Umetisha!Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Huu ndio utamaduni wetu humuMmefukua uzi wa jamaa fasta