[emoji15][emoji15][emoji15]Itabd niwe namtumia kwenye kubeti huyu mwamba[emoji16][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15][emoji15][emoji15]Itabd niwe namtumia kwenye kubeti huyu mwamba[emoji16][emoji849]
Spana mamake 😅😅Leo kila Mwalimu humu atajifanya ni mchambuzi wa masuala ya anga
Bado'watakatifu' watasema wamejitahidi kuomba ndio maana utabiri umetokea nusu.na bora kafanya hivyo mana ungetik wote mngesema serikali imfuatilie
AiseeHakuna kitu kama hicho
Ndo maana alisema tumwombe Mungu madhara yasiwe makubwa.Ndege haina alama nyekundu
Ndege haijakatika vipande viwili
Watu wengi hawajafa
Shubaaamit
Atuchoree jackpotItabd niwe namtumia kwenye kubeti huyu mwamba[emoji16][emoji849]
Jikite kwenye "Itatokea ajali ya ndege ya abiria".Utabiri haujatimia, huyu jamaa alisema ndege itakatika vipande viwili na ndege ina beji nyekundu. Lakini sio kweli vyote hivyo
Tuache upuuzi watanzania
Precision ya kwenda bukoba imedondoka kwenye maji leo wakati wa kutua pale uwanjani, je kuna uhusiano na utabiri wako huu? Ila kale ka uwanja kamekaa vibaya sana, maana one mistake basi ndege itatua majini au itapitiliza mpaka nje ya uwanja.Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Ahahahahahaha!! Mkuu usisahau kunifowadia odds atakazokutumia.[emoji15][emoji15][emoji15]
Usingizini hakuona rangi vizuri .Haina logo nyekundu na haijavunjika vipande viwili ila ajari imetokea tuendelee kufuatilia idadi ya waliokufa
Umeamka sasa?Amka wewe
Utajikojolea…
Ndo natoka kanisani nacheki simu nakutana na hii habari nimekumbuka tu hyu jamaaaDuuh aisee imebidi nirudi kwa uzi.
Ajali imetokea kweli. Is this a coincidence. Wazee wa ulimwengu wa roho mtuelezee.
Kabsa tena lile la sportpesa tukibutua tunagawana naeAtuchoree jackpot
Au maombi yamefuta hio logo nyekundu na kukatika katikati ila mengine ni mule muleUsingizini hakuona rangi vizuri .
Kishauaga umasikini[emoji34][emoji34][emoji34]Umetisha!
Mwamba huyu hapaNdo natoka kanisani nacheki simu nakutana na hii habari nimekumbuka tu hyu jamaaa
wangatala @watoramali[emoji15][emoji15][emoji15]