Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
Hakuna kilichotimia.Yametimia asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kilichotimia.Yametimia asee
kwani imekatika vipande viwili na rangi yake ni nyekundu kwani?Haya ndio maono.....yametimia
Unataka utume majini yakaangushe ndege Kisha useme ulitabiri!!!
Kinachofanyika ni kuandaa watu kisaikolojia. Endelea kutabiri ila nakutabiria kuwa Kuna moto mkubwa unakusubiria
aisee imekua kweliKama kipi alitabiri kikawa kweli??
Aisee kuna watu wapo vizuri! Hata kama sio kwa 100%, basi hata 90% uko vizuri uliyetabiri...
Pole kwa wahanga wa ajali.
aisee imekua kweli
dahhh nimecheka aisee utazani mazuri Damu ya Yesu haiwezi kugonga mwamba sbb hakuna Vifo bila damu ya Yesu ungesikia maafa Shetani ameshindwa mpambano ulikua mkali lakiniDamu ya yesu imegonga mwamba this time
Mkuu umejitadi mkuu!!Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Walipa tozo ndiyo wako kwenye uokoajiHii kitu ata mimi nimeona inaendeshwa ki local sana
Umeongea jambo la maana sana. Hata moto wa mlima Kilimanjaro ulikuwa unapelekwa ki local. Hawa watu waliopo madarakani sijui huwa wanaplan nini!!???Kinacho niumiza zaidi ni kuona jinsi tunavo okoa ndugu zetu ki local wakati kila kukicha tuna nunuaV8
Sent from my ZTE BLADE A512 using JamiiForums mobile app
ni kweli ila huu wa maharage ya ukweni bado haujatimia hata chembe.Mi napendaga wale watu wanaokuja kutafuta kasoro kwenye utabiri😁😁
Mkuu nakutumia picha ya mke wangu mtarajiwa unaambie nioe au nipige chini
Zaidi ya watu 20 wamepoteza maishaNchi hii wakifa 20 kwenye majanga utaambiwa wamekufa wa 5.
Hapo sasa. Huo ni uganga wa kienyeji. Sasa wanatabiri ili kusaidia nini kama sio uchawi?Hivi kwa nini nyie watabiri huwa mnatoa habari nusu nusu? Kwa nini usitaje na jina la kampuni kabisa ili ndege husika izuiwe kusafiri?
Unabii umetimia japo ndege iliyoanguka haiko na rangi nyekundu ni kijani na njanoSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
DuhMsimdhihaki Huyu mshikaji hebu tafuteni nyuzi zake na comment alizowahi kuandika hakoseagi.