Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu ni katika ndoto wala sipigi ramli wala sina uwezo wa kuchagua jambo la kuonyeshwa,huwa ni only serious issuesNi katika ndoto mkuu!
Kiongozi ni maono tu wala sipigi ramli,sema kitendo cha wale jamaa ZANGU wa DAMU YA YESU kunifata PM ni miongoni mwa maajabu saba ya dunia yaani 7 WONDERS OF THE WORLDAu huwa unapata maono!?
Kwanini unataka wafe mkuu?Vp hakuna kiongozi yoyote wa juu atakufa?
Mkuu piga hela sasa chagua mmoja uwe unampa siri ila kila habari mchaji milioni hamsini watatoa tu huwajuiKiongozi ni maono tu wala sipigi ramli,sema kitendo cha wale jamaa ZANGU wa DAMU YA YESU kunifata PM ni miongoni mwa maajabu saba ya dunia yaani 7 WONDERS OF THE WORLD
Mkuu sala ina nguvu sana..kinachotokea ni madhambi yamekua makubwa na watu hawasali kwa kutoka rohoni ila MUNGU HUWA ANAGHAIRI SANA ila ndio usali kweliMkuu kuna baadhi ya siku huwa natembezwa kuonyeshwa baadhi ya mambo na nnachoneshwa lazima itimie coz huwa ni mpango wa Mungu ambao ameshakadiria itokee.Kwakuwa ni mpango wa mungu na sio Shetani basi huwa haiwezekani kubadiri hata kwa dua au maombi kwani huwa ni mambo ambayo muda wake wa kutimia huwa umefika.
Sawa, ila ndo huyu huyuu, ali Tabiri ile ya Arusha.., huyu huyuu ali Tabir kifo cha JPM since 2016.huuyu Huyu ali tabiri kjhusu kuumwa kwa Lowasa tatzo hamfatilii Nyuzi zake mkae kwa kutulia basi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa ameotea tu huyu asije akawachota mkajaa.
Mkuu upo?Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Mkuu upo?Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Mkuu upo?Amka wewe
Utajikojolea…
Hii kiroho tunaitaje?Unataka utume majini yakaangushe ndege Kisha useme ulitabiri!!!
Kinachofanyika ni kuandaa watu kisaikolojia. Endelea kutabiri ila nakutabiria kuwa Kuna moto mkubwa unakusubiria
Wewe ndugu tunakuomba hapa uyapitie tena maneno yakoWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Mkuu salama?Katika Jina la Yesu aliye hai ajali na ibakie kichwani mwako tu.
Yeye ameona ajali, hajaona shirikaTukio kama hilo likitokea kweli jiandae kujibu mashtaka na utaozea jera tofauti na hvo watafute shirika husika uwaambie wasitishe safari siku hiyo
Ha ha haUmekuja kivingne na ramli zako
Ngoja nikale kitimoto changu nije kukuandikia gazeti kuhusu majini unayotumia
acha upumbavu weweHaina logo nyekundu na haijavunjika vipande viwili ila ajari imetokea tuendelee kufuatilia idadi ya waliokufa