Utabiri: Simba anapigwa 5 _0 na Orlando pirates

Utabiri: Simba anapigwa 5 _0 na Orlando pirates

Utabiri wangu
Kila nikiangalia kwenye kioo naiona Simba ni underdog na Simba anakula. Kichapo cha 5_ 0
Kama upo serious kweli, na naamimini unahitaji fedha pia, weka mzigo kwenye kampuni yoyote ya betting, na utabiri wako (wa kwenye kioo) utakulipa kweli kweli. Chukua tu kama sh. laki mbili uweke, utapata zaidi ya sh. milioni 15
 
Ilivyokuja al ahly mlisema tunafungwa mara mbili ya walizotufunga kwao walivyokuja hapa hata shot on target walikosa na kupoteza mchezo tena walikuwa katika kiwango bora kabisa maana walifungwa na SIMBA na Bayern Munich tu kwa kipindi kile unalosema linawezekana ila sio kwa mkapa .
 
Kwa wale tulio mabingwa wa kutabiri mechi hapa Tanzania tuanzeshe kutabiri mechi hii muhimu kwa taifa la Tanzania

Utabiri wangu
Kila nikiangalia kwenye kioo naiona Simba ni underdog na Simba anakula. Kichapo cha 5_ 0

Leo asubuhi pia nmeota

Orlando pirates 5___0 simba

Mechi itaisha kwa mashabiki kung'oa viti na kuiba .....VAR

Dondosha utabiri wako hapa
View attachment 2181347
Vyura fc wana shida sana
 
Kama upo serious kweli, na naamimini unahitaji fedha pia, weka mzigo kwenye kampuni yoyote ya betting, na utabiri wako (wa kwenye kioo) utakulipa kweli kweli. Chukua tu kama sh. laki mbili uweke, utapata zaidi ya sh. milioni 15
Hapn mkuu.....hizo kamali ni haramu
 
Ilivyokuja al ahly mlisema tunafungwa mara mbili ya walizotufunga kwao walivyokuja hapa hata shot on target walikosa na kupoteza mchezo tena walikuwa katika kiwango bora kabisa maana walifungwa na SIMBA na Bayern Munich tu kwa kipindi kile unalosema linawezekana ila sio kwa mkapa .
Time Will tell....msije sema hatukuwaambia
 
Tabiria matatizo yako yaishe mambo ya timu huyawezi hapa unafurahisha mwili wako ila moyo wako unajua hilo halipo
Kutabiri matatzo yangu ningumu mkuu.......that's y mganga hawezi kujiganga[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom