Utabiri: Simba atadroo wakati Yanga atafungwa huko kwenye mechi za Kimataifa

Utabiri: Simba atadroo wakati Yanga atafungwa huko kwenye mechi za Kimataifa

Baada ya kubahatisha uzi wa kwanza ni bora ungeacha kutabiri ili kutojishushia heshima yako. Watu waliona pengine una maono wakakusubiria uje na uzi mwingine wa Yanga vs TP Mazembe na Simba vs Raja. Ukaja na uzi ambao ukawepeleka watu chaka mno, Simba uliyempa sare akagalagazwa, na Yanga akashinda vile vile.
 
Wewe ni zaidi ya pimbi[emoji23][emoji23] tabiri zako ni za uongo[emoji116]
Screenshot_20230223-183143.jpg
 
Back
Top Bottom