Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Wewe ndiye yule mwenye utabiri wa vice versa eehSimba na Yanga wote wana mechi za kimataifa mwishoni mwa wiki.
Utabiri wangu kwakuwa wote wapo ugenini, Simba atadroo na Vipers wakati Yanga atapigwa goli mbili kule Mali.
Sasa kama wewe umeshatabiri, sisi tufanye nini?Simba na Yanga wote wana mechi za kimataifa mwishoni mwa wiki.
Utabiri wangu kwakuwa wote wapo ugenini, Simba atadroo na Vipers wakati Yanga atapigwa goli mbili kule Mali.
😂😂Hapo kwa simba umepuyanga, ila uto lazima atolewe marinda huko Mali.