Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa figisu ni hatari,wewe uliona wapi kwenye mpira timu ikawa na kocha msaidizi wa kudumu ambae hawajibiki na matokeo.......Kwamba ni Mzee wa figisu
Na Yanga ikifungwa na TaboraIkitokea Club ya Simba SC kufungwa na Yanga basi naona kabisa itafikia makubaliano ya kuachana na kocha wao Raia wa Afrika Kusini Fadlu Davis.
Baada ya Simba kukandwa....kula chuma 6_0
Sorry nafanya mazoezi ya kupost hii taarifa mwezi ujao]
Unawajua vizuri tabora wewe? Muulize gamondi atakupa habari zao.Itachukuwa mwaka mwingine simba kufikia ile ya 2017-2020.
Unaona kabisa wachezaji hawana speed, wanacheza kichovu sana...tabora walikuwa na makosa mengi sana....ilipaswa kuadhibiwa sana...
Mkuu, sioni CHAMBUZI zako siku hizi!Uzi wa zman huu bna[emoji51][emoji51]