kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 725
- 917
Mimi ni shabaki kindakindaki na mpenzi na mwanachama wa klabu pendwa hapa nchini natabiri kuwa simba ambayo ni timu yangu hapo kesho majira ya saa kumi alasiri ndani ya LUPASO (Mkapa Stadium) timu yangu pendwa ya simba tutafungwa goli 2 kwa 1 na timu ya AS Vita. Naomba kuwasilisha wanamsimbazi wenzangu.
#Simba nguvu1
BAADA YA MECHI MJE MTOE USHUHUDA HAPA
Updates: mpira umeisha hongera timu yangu ya simba kwa kutinga robo fainali. Uzi umefungwa utopolo mtaisoma namba kwakweli mwaka huu
#Simba nguvu1
BAADA YA MECHI MJE MTOE USHUHUDA HAPA
Updates: mpira umeisha hongera timu yangu ya simba kwa kutinga robo fainali. Uzi umefungwa utopolo mtaisoma namba kwakweli mwaka huu